Rocky City JF-Expert Member Joined Nov 22, 2017 Posts 892 Reaction score 683 Dec 15, 2017 #1 Kwa muda sasa nimekuwa na tatizo la kila nipatapo homa lazima nitokwe na vidonda mdomoni tena vidonda hivyo hunisumbua sana kupona ikiwa ni pamoja na kuwasha sana, naomba msaada nini cha kufanya jamani.
Kwa muda sasa nimekuwa na tatizo la kila nipatapo homa lazima nitokwe na vidonda mdomoni tena vidonda hivyo hunisumbua sana kupona ikiwa ni pamoja na kuwasha sana, naomba msaada nini cha kufanya jamani.
b5-click JF-Expert Member Joined Mar 21, 2012 Posts 2,195 Reaction score 2,109 Dec 15, 2017 #2 Ni homa tu, Ila si vibaya ukaenda kupima miwaya.
Rocky City JF-Expert Member Joined Nov 22, 2017 Posts 892 Reaction score 683 Dec 15, 2017 Thread starter #3 b5-click said: Ni homa tu, Ila si vibaya ukaenda kupima miwaya. Click to expand... Hata kipimo ukitaka naweka,,nimepima mala kwa mala tu,,
b5-click said: Ni homa tu, Ila si vibaya ukaenda kupima miwaya. Click to expand... Hata kipimo ukitaka naweka,,nimepima mala kwa mala tu,,