Nipe Jina (Lako), Nikupe Jina la Kiislam Lenye Maana Sawa

Nipe Jina (Lako), Nikupe Jina la Kiislam Lenye Maana Sawa

Naming ya majina ni kutokana na lugha unayoogea. Islam ni tamaduni za kiarabu na lugha yao. Vivyo hivyo ukristu ni tamaduni za magharibi na lugha yao.

Hayo majina ya kikristo na kiarabu pia unaweza yapata kwenye lugha ya kisukuma na kihaya yakiwa na maana ile ile ila matamshi tofauti.

Tatizo mnashobokea tamaduni za watu na mnazifanya zenu, hata wao wanawashangaa mlivyo wajinga.

Anza kupenda vyenu.
Jina langu ni Manyanza.
Kiswahili ni Ziwa au Maziwa. Maana yake ni Ziwa na Lake Victoria kabla ya Mkoloni liliitwa Nyanza. Kwahiyo mjumuisho wa maziwa yote ukatengeneza Manyanza 😂😂😂😂
 
View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
  1. Lucy - Lusiya
  2. John - Yahya
  3. Mark - Markus
  4. Mary - Maryam
  5. Joseph - Yusuf
  6. Peter - Butrus
  7. Anna - Hannah
  8. Elizabeth - Alizabet
  9. Andrew - Andrawus
  10. Michael - Mika'il
  11. David - Dawud
  12. Esther - Ishtar
  13. James - Yakub
  14. Martha - Marta
  15. Luke - Lukas
  16. Rebecca - Rabiqa
  17. Paul - Bulus
  18. Sarah - Sara
  19. Timothy - Timotheo
  20. Ruth - Ruta
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Msanii
 
View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
  1. Lucy - Lusiya
  2. John - Yahya
  3. Mark - Markus
  4. Mary - Maryam
  5. Joseph - Yusuf
  6. Peter - Butrus
  7. Anna - Hannah
  8. Elizabeth - Alizabet
  9. Andrew - Andrawus
  10. Michael - Mika'il
  11. David - Dawud
  12. Esther - Ishtar
  13. James - Yakub
  14. Martha - Marta
  15. Luke - Lukas
  16. Rebecca - Rabiqa
  17. Paul - Bulus
  18. Sarah - Sara
  19. Timothy - Timotheo
  20. Ruth - Ruta
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Jibu kwanza hapa.
Unipe jina la kiislam au kiarabu?
Kwani Islam ni lugha au dini?
 
Jibu kwanza hapa.
Unipe jina la kiislam au kiarabu?
Kwani Islam ni lugha au dini?
Yote ni sawa, waislamu wanatumia majina ambayo yana chimbuko kwny uarabu
Same hata Wakristo utakuta lipo na chimbuko kwny kilatin, waebrania, kigiriki, nk
Hivyo yote ni sawa
 
View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
  1. Lucy - Lusiya
  2. John - Yahya
  3. Mark - Markus
  4. Mary - Maryam
  5. Joseph - Yusuf
  6. Peter - Butrus
  7. Anna - Hannah
  8. Elizabeth - Alizabet
  9. Andrew - Andrawus
  10. Michael - Mika'il
  11. David - Dawud
  12. Esther - Ishtar
  13. James - Yakub
  14. Martha - Marta
  15. Luke - Lukas
  16. Rebecca - Rabiqa
  17. Paul - Bulus
  18. Sarah - Sara
  19. Timothy - Timotheo
  20. Ruth - Ruta
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Analwisye mwakijengele.
Naomba la kiislam tafadhari
 
Tumekugundua ,jina likiwekwa hapa unaenda kuuliza kwa Artificial Intelligence (CHATGPT) 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo yasiwe mengi 🤣
77FF5873-BC3B-4BE3-B05B-0D7DE2C4E108.png
 
Mzimu wa Kolelo Manyanza Mad Max

1. Kevin - Kefin
2. Max - Maks
3. Frank - Farank

Ama ambayo yana sound Arabic kanisa

1. Kevin:
  • Khaled (meaning "eternal")
  • Khalil (meaning "friend")
  • Karim (meaning "generous")

2. Frank:
  • Faris (meaning "knight" or "horseman")
  • Farhan (meaning "happy" or "joyful")
  • Faisal (meaning "decisive")

3. Max:
  • Mahmoud (meaning "praised" or "commendable")
  • Malik (meaning "king" or "ruler")
  • Mujahid (meaning "striver" or "warrior")
Ilo la Mujahid limekaa kibabe sana.
 
Naming ya majina ni kutokana na lugha unayoogea. Islam ni tamaduni za kiarabu na lugha yao. Vivyo hivyo ukristu ni tamaduni za magharibi na lugha yao.

Hayo majina ya kikristo na kiarabu pia unaweza yapata kwenye lugha ya kisukuma na kihaya yakiwa na maana ile ile ila matamshi tofauti.

Tatizo mnashobokea tamaduni za watu na mnazifanya zenu, hata wao wanawashangaa mlivyo wajinga.

Anza kupenda vyenu.
Tutaleta uzi pia wa Majina ya Kizungu na Kiarabu kwa tafsiri ya Kisukuma, Kihaya, Kichaga, na Kingoni
 
View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
  1. Lucy - Lusiya
  2. John - Yahya
  3. Mark - Markus
  4. Mary - Maryam
  5. Joseph - Yusuf
  6. Peter - Butrus
  7. Anna - Hannah
  8. Elizabeth - Alizabet
  9. Andrew - Andrawus
  10. Michael - Mika'il
  11. David - Dawud
  12. Esther - Ishtar
  13. James - Yakub
  14. Martha - Marta
  15. Luke - Lukas
  16. Rebecca - Rabiqa
  17. Paul - Bulus
  18. Sarah - Sara
  19. Timothy - Timotheo
  20. Ruth - Ruta
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Mayunga
Mkude
 
Hayo majina ni yaliyotumika kwenye Empire zilizowahi kutawala maeneo makubwa kama Roman, Greek na Otoman Empire. Ndio maana yamejulikana.

Ila majina yetu mfano ya makabila ya asili ya Kiafrika yanabaki kama yalivyo na hayabadiliki kutokana na lugha flani. Ingawa yanamezwa na majina ya hizo Empire.
 
Back
Top Bottom