πππ Kwa mfano Frank kwa kiarabu ni Faris je kwa kisukuma au Kihaya litakuwa na maana gani ??Tutaleta uzi pia wa Majina ya Kizungu na Kiarabu kwa tafsiri ya Kisukuma, Kihaya, Kichaga, na Kingoni
πππMsanii
Dimpozi sijui ππππDepal
Jina kubwa hiloLako.
Langu halipo.
InshaAllah!View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
- Lucy - Lusiya
- John - Yahya
- Mark - Markus
- Mary - Maryam
- Joseph - Yusuf
- Peter - Butrus
- Anna - Hannah
- Elizabeth - Alizabet
- Andrew - Andrawus
- Michael - Mika'il
- David - Dawud
- Esther - Ishtar
- James - Yakub
- Martha - Marta
- Luke - Lukas
- Rebecca - Rabiqa
- Paul - Bulus
- Sarah - Sara
- Timothy - Timotheo
- Ruth - Ruta
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!
Mbona unaanza kuchafua uzi mkuu ?Nenda msikitini halafu useme unaitwa kristofa uende kama sheikh atakuacha salama
Itapigwa TAKBIRRRRRR!!!! ASTAGAFULLAH!! YARAAAB!! TOBAAA!!
labda ujiite Hamza kanuni!
ngoja nilitamke kimasaiJina kubwa hilo
Hiyo bado ni ya Kimasai. Nataka ya kiarabuDimpozi sijui ππππ
Mkuu hili la Wenceslaus vipi?Manyanza:
Majid (meaning "glorious" or "splendid")
Maziyyah (meaning "spring of water" or "source of water")
Mutasim (meaning "one who seeks protection")
Mi binafsi naona ni majina ya kizungu against kiarabu na sio kikristo against kiislam. Mfano mi naitwa Ndekidemi alafu ni Mkristo na kuna jamaa mmoja anaitwa Kisombe na myislam. Hapo naina unatupotosha. Tittle ingesema, majina ya kuzungu vs kiarabu kwani pia sio wazungu wote ni wakristo na sio waarabu wote waislam.View attachment 2596073
Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka,
Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye maana sawa la kiislam (Arab).
Kwa kuanzia haya ni baadhi ya majina ya Kikristo ambayo yanapatikana Tanzania ambayo tunaweza yapeleka kwenye tafsiri ya kiarabu:
Unaona majina haya yalivyo interchangeable, yanavyoshabiliana? Hii ni kumaanisha sisi sote ni ndugu.
- Lucy - Lusiya
- John - Yahya
- Mark - Markus
- Mary - Maryam
- Joseph - Yusuf
- Peter - Butrus
- Anna - Hannah
- Elizabeth - Alizabet
- Andrew - Andrawus
- Michael - Mika'il
- David - Dawud
- Esther - Ishtar
- James - Yakub
- Martha - Marta
- Luke - Lukas
- Rebecca - Rabiqa
- Paul - Bulus
- Sarah - Sara
- Timothy - Timotheo
- Ruth - Ruta
Je, haujaona lako bwana Richard, dada Doreen, nk.. Kama uko interested drop jina lako, ama kama uko kwny anonymity mode pretend hata ni la rafiki yako, upate jina la kudrop mahali Leo na kula Eid na wanao..
Natumai Eid hii ituletee furaha na amani sisi sote. Eid Mubarak!