King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,145
- 4,293
Kama vile nahisi nawe ni Neema.Mwite Neema, lol
Kule Japan nadhani,kila happy birthday mtoto anabadilishwa jina,bongo bahati mbaya ukipewa 1 mpaka kifo....Muite chaupole ili akikua aweze kuitwa kulingana na tabia zake.
Akiwa mtaratibu abaki akiitwa Chau-pole
Mbea aitwe Chau-mbea
Mcharuko aitwe Chau-siku
Kila la kheri baba Chau
Hii nimeipenda sana mkuu,changamoto ni mimi mkristo bila dini hakika hii imeingia kwenye kinyang'anyiro.Shekh kwakuwa kazaliwa awamu ya 6 na mama ndio kashika nchi basi ungempa jina sawa na mshika nchi iwe kumbukumbu maana inaweza isitokee tena.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Nzuri pia hii origin yake ni spanish???!Camilla meaning free born
Meaning?Cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......kwamba ni hasara et!!!Umeng'ang'ania kupata jina la mtoto wa kiume fasta utafikiri watoto wa kiume wana faida![emoji124][emoji124][emoji124]
Watoto wa kiume ni hasara tupu,kwetu tupo watoto wa kiume watatu ambao wamesomeshwa na wana maisha yao mazuri tu ila wazazi wanasaidiwa na watoto wa kike ambao waliishia la saba ambao ni wauza magenge.Baba na Mama walidharau kusomesha watoto wa kike na kung'ang'ania kusomesha wa kiume wakifikiri kuwa wako sahihi kumbe waliruka mkojo wakakanyaga mavi.Hali ya maisha ya Baba na Mama siyo nzuri.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......kwamba ni hasara et!!!
Pole sana aiseee sasa napata maana halisi ya kwanini ulisema vile....lakini hii si inategemea na akili ya mtu pamoja na makuzi anayopitia?Watoto wa kiume ni hasara tupu,kwetu tupo watoto wa kiume watatu ambao wamesoma na wana maisha yao mazuri tu ila wazazi wanasaidiwa na watoto wa kike ambao waliishia la saba ambao ni wauza magenge.Baba na Mama walidharau kusomesha watoto wa kike na kung'ang'ania kusomesha wa kiume wakifikiri kuwa wako sahihi kumbe waliruka mkojo wakakanyaga mavi.Hali ya maisha ya Baba na Mama siyo nzuri.
Halelluyaah......ameeeeen[emoji350]Kiroho,mwanao kwanza atakua mtu makini, pili, atakua mkali simanishi sura namanisha kiroho maana hii karama mungu kanipa,huyu type za ni za wale shangazi wa tweete,akili nyingi sana
Wala,mfano sisi kwetu watoto wa kiume tuna maugomvi yasiyoisha kati yetu ambayo yamepelekea mpaka kutokuwasiliana na wazazi na pia imepelekea kublock misaada kwenda kwa wazazi pia wakati watoto wa kike wanaishi kwa umoja,upendo na kuheshimiana.Nilichojifunza ni kwamba watoto wa kiume siyo watoto sahihi wa kuzaa.Kwetu kila mtoto wa kiume anajiona yeye ndiye mkubwa na mbabe kupita wengine kitu ambacho kimesababisha kila mtu kuishi life lake na mbaya zaidi moto unachochewa na wazazi kutaka kumpendelea mmoja zaidi na kudharau wengine.Pole sana aiseee sasa napata maana halisi ya kwanini ulisema vile....lakini hii si inategemea na akili ya mtu pamoja na makuzi anayopitia?
Atakuja kuwa kuwa Bibi Afya wa Kijiji.Muiite Dorothy ( kumuenzi wazir wa Afya )
Aisee...kwahiyo mkuu simu inapandikizwa kizazi kimoja hadi kingi....kwenye shughuli za jamii mnakutana??Wala,mfano sisi kwetu watoto wa kiume tuna maugomvi yasiyoisha kati yetu ambayo yamepelekea mpaka kutokuwasiliana na wazazi na pia imepelekea kublock misaada kwenda kwa wazazi pia wakati watoto wa kike wanaishi kwa umoja,upendo na kuheshimiana.Nilichojifunza ni kwamba watoto wa kiume siyo watoto sahihi wa kuzaa.Kwetu kila mtoto wa kiume anajiona yeye ndiye mkubwa na mbabe kupita wengine kitu ambacho kimesababisha kila mtu kuishi life lake na mbaya zaidi moto unachochewa na wazazi kutaka kumpendelea mmoja zaidi na kudharau wengine.