King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,145
- 4,293
Baada ya kuwa baba kijacho kwa miezi 9 sasa hatimae muda si mrefu mungu akijalia mkono wake wa neema natarajia kuitwa baba fulani....
Kwangu mimi mtoto ni mtoto haijalishi awe wa kike/kiume wote ni watoto.
Jina kwa upande wa mtoto wa kiume ninalo tayari,lakini kwa upande kike sijalipata bado.
Kwa kuzingatia mambo tajwa hapo juu naomba msaada wa wadau kupekua library za bongo zenu na kila mmoja apendekeze jina analohisi ni sahihi kwa mtoto wa kike.
Nakaribisha majina na maana zake kwa jinsia ya kike.
#Karibuni nyote.
Kwangu mimi mtoto ni mtoto haijalishi awe wa kike/kiume wote ni watoto.
Jina kwa upande wa mtoto wa kiume ninalo tayari,lakini kwa upande kike sijalipata bado.
Kwa kuzingatia mambo tajwa hapo juu naomba msaada wa wadau kupekua library za bongo zenu na kila mmoja apendekeze jina analohisi ni sahihi kwa mtoto wa kike.
Nakaribisha majina na maana zake kwa jinsia ya kike.
#Karibuni nyote.