Imekuwa ni kawaida kwa madaktari wetu kukupa tiba na njia mbalimbali za kukuwezesha kupona ugonjwa
unaokusumbua..Kwa kweli tunawashukuru kwa hilo....Swali langu ni je...! tatizo lipo wapi kwa madaktari wengi wao
kushindwa kumpa mgonjwa njia za
kukabiliana na tatizo husika ili kuavoid watu kupishana mala kwa mala mahospitalini na matatizo yale yale yaliyo wapeleka
mwanzo kujirudia...,!?.,