Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Nimesoma nyuzi kuhusu wanawake wa Mtwara na Lindi. Mimi naishi Dar nataka niende Mtwara nitafute binti wa kuoa awe na at least kumi na nane n.a. awe amemaliza form four. Ila nitakuja kuishi nae Dar he urahisi na ugumu wa kumpata upo wapi? Msaada wako tafadhali mkuu
Wee mpumbavu Kweli huko hakn bint amemaliza fom four wote lasaba

Kismsingi oa Kabila la mam ako
 
Mkuu

inbox inagoma kufunguka kupitia browser na sina app..ni rahisi sana huku kikubwa ukitoa kishika uchumba na hela ya barua mfano 50000 au laki unaachiwa mwanamke.kumpata ili umuone kama mzuri uongee nAye ni kwenye mashughuli ya unyago pale wwnakuwepo wasichana wengi sana hivyo utamchagua ambaye ana aibu sio wale walevi wakucheza ovyo ila kwa ushauri katika makabila matatu ambayo ni wamawia wamakonde na wamwera nakushauri wamawia na wamakua ambao wanapatikana masasi na tunduru kdg wana nidhamu sana na ndoa tofauti na wamwera na pia wana akili karibu lindi tutembee maeneo mbalimbali watoto wa huku wapole kuhusu mapenzi usiwaze kbs viuno ndo kama vyote na wengi ni wa kienyeji
VIP nikiwazalisha tu na kusepa inakubalika nije kuleta mbegu za kazikasini huko
 
Mkuu

inbox inagoma kufunguka kupitia browser na sina app..ni rahisi sana huku kikubwa ukitoa kishika uchumba na hela ya barua mfano 50000 au laki unaachiwa mwanamke.kumpata ili umuone kama mzuri uongee nAye ni kwenye mashughuli ya unyago pale wwnakuwepo wasichana wengi sana hivyo utamchagua ambaye ana aibu sio wale walevi wakucheza ovyo ila kwa ushauri katika makabila matatu ambayo ni wamawia wamakonde na wamwera nakushauri wamawia na wamakua ambao wanapatikana masasi na tunduru kdg wana nidhamu sana na ndoa tofauti na wamwera na pia wana akili karibu lindi tutembee maeneo mbalimbali watoto wa huku wapole kuhusu mapenzi usiwaze kbs viuno ndo kama vyote na wengi ni wa kienyeji
Asante sana mkuu wanakuwa na umri gani hao? Anakuwa kamaliza la saba au form 4?

Na hizo ngoma za unyago zinakuwa zinafanyika miezi gani? Au ni kila week end?

Pia vipi kuhusu house girl? Wanapatikana pia?
 
Mkodomi hali ya hewa kule kwenu ni nzuri ila mnachonikera mna ukabila mno.Huwa sioni raha ya kwenda Kagera-ukweni,mimi ni mswahili ila nikiwa na wenyeji wao wanachapa kihaya tu nahisi kama wananiteta.
Kuzungumza lugha yao si ukabila...

Kwa muktadha wa Tanzania ukabila ni kitendo cha kutengwa au kunyimwa huduma fulani fulani kwasababu wewe si mtu wa kabila hilo...

Kama ulifanyiwa hayo basi huo twauita ukabila shehe...
 
Back
Top Bottom