ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
Inategemea na sekta uliyopo ila washamba wengi so ukiwa mjanja kuwazidi unafaidika mfano ardhi huku yakutosha mapori ya kupewa ufyeke wewe tu km unategemea kilimoVipi panafaa kwa kijana anaeanza kujitafuta katika maisha?
Napenda pakaya beach pale unaendaga?Napenda kuishi ukanda wa Pwani kwasababu napenda sana kubarizi.
Huko ndiyo kupo kushoto kabsaMkuu hata arusha na kilimanjaro je
juzi kati nimetoka huko kuteketeza vishilingi.Napenda pakaya beach pale unaendaga?
Napenda ile culture mule ndani basi kila nikija masoko lazima nishuke kule kucheki ball japo nakuwa nishalewa juu kule naenda kusuza koo maana bei sio za kilofa sanajuzi kati nimetoka huko kuteketeza vishilingi.
Hasa wilaya zipiPwani nilipapenda.
Huku tuko nsumbiji nsumbiji mambo za kunyimana mwisho kiliwe na nyenyereKusini, kuna watoto wadogo wa kike wamefundwa, wanajua kutoa penzi
Tanga ya pwani mpaka darHasa wilaya zipi
Ila Moro 👏Sehemu pekee ya kuishi binadamu ni Iringa na morogoro kwingine tunaforce tu🤒😁
Wee mpumbavu Kweli huko hakn bint amemaliza fom four wote lasabaNimesoma nyuzi kuhusu wanawake wa Mtwara na Lindi. Mimi naishi Dar nataka niende Mtwara nitafute binti wa kuoa awe na at least kumi na nane n.a. awe amemaliza form four. Ila nitakuja kuishi nae Dar he urahisi na ugumu wa kumpata upo wapi? Msaada wako tafadhali mkuu
VIP nikiwazalisha tu na kusepa inakubalika nije kuleta mbegu za kazikasini hukoMkuu
inbox inagoma kufunguka kupitia browser na sina app..ni rahisi sana huku kikubwa ukitoa kishika uchumba na hela ya barua mfano 50000 au laki unaachiwa mwanamke.kumpata ili umuone kama mzuri uongee nAye ni kwenye mashughuli ya unyago pale wwnakuwepo wasichana wengi sana hivyo utamchagua ambaye ana aibu sio wale walevi wakucheza ovyo ila kwa ushauri katika makabila matatu ambayo ni wamawia wamakonde na wamwera nakushauri wamawia na wamakua ambao wanapatikana masasi na tunduru kdg wana nidhamu sana na ndoa tofauti na wamwera na pia wana akili karibu lindi tutembee maeneo mbalimbali watoto wa huku wapole kuhusu mapenzi usiwaze kbs viuno ndo kama vyote na wengi ni wa kienyeji
Nin kinakubali Zaid huko korosho tu au kuna zao lingineInategemea na sekta uliyopo ila washamba wengi so ukiwa mjanja kuwazidi unafaidika mfano ardhi huku yakutosha mapori ya kupewa ufyeke wewe tu km unategemea kilimo
Asante sana mkuu wanakuwa na umri gani hao? Anakuwa kamaliza la saba au form 4?Mkuu
inbox inagoma kufunguka kupitia browser na sina app..ni rahisi sana huku kikubwa ukitoa kishika uchumba na hela ya barua mfano 50000 au laki unaachiwa mwanamke.kumpata ili umuone kama mzuri uongee nAye ni kwenye mashughuli ya unyago pale wwnakuwepo wasichana wengi sana hivyo utamchagua ambaye ana aibu sio wale walevi wakucheza ovyo ila kwa ushauri katika makabila matatu ambayo ni wamawia wamakonde na wamwera nakushauri wamawia na wamakua ambao wanapatikana masasi na tunduru kdg wana nidhamu sana na ndoa tofauti na wamwera na pia wana akili karibu lindi tutembee maeneo mbalimbali watoto wa huku wapole kuhusu mapenzi usiwaze kbs viuno ndo kama vyote na wengi ni wa kienyeji
Kuzungumza lugha yao si ukabila...Mkodomi hali ya hewa kule kwenu ni nzuri ila mnachonikera mna ukabila mno.Huwa sioni raha ya kwenda Kagera-ukweni,mimi ni mswahili ila nikiwa na wenyeji wao wanachapa kihaya tu nahisi kama wananiteta.
Nin kinakubali Zaid huko korosho tu au kuna zao lingine
Uko mtwara au Lindi