Nipe sababu tatu unapenda kuishi ukanda gani mwa Tanzania?

Wee mpumbavu Kweli huko hakn bint amemaliza fom four wote lasaba

Kismsingi oa Kabila la mam ako
 
VIP nikiwazalisha tu na kusepa inakubalika nije kuleta mbegu za kazikasini huko
 
Asante sana mkuu wanakuwa na umri gani hao? Anakuwa kamaliza la saba au form 4?

Na hizo ngoma za unyago zinakuwa zinafanyika miezi gani? Au ni kila week end?

Pia vipi kuhusu house girl? Wanapatikana pia?
 
Mkodomi hali ya hewa kule kwenu ni nzuri ila mnachonikera mna ukabila mno.Huwa sioni raha ya kwenda Kagera-ukweni,mimi ni mswahili ila nikiwa na wenyeji wao wanachapa kihaya tu nahisi kama wananiteta.
Kuzungumza lugha yao si ukabila...

Kwa muktadha wa Tanzania ukabila ni kitendo cha kutengwa au kunyimwa huduma fulani fulani kwasababu wewe si mtu wa kabila hilo...

Kama ulifanyiwa hayo basi huo twauita ukabila shehe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…