Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
images%20(6).jpg
 
Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
 
Tuliwatumia enzi zetu kwenda kuwinda nao Sungura akiumia ana deka anataka mumbebe,na anajilegeza kweli mkimkazia mkaondoka anainuka anawafata akichechemea uksmama akikufkia analala chini umbebe. Hawa ni vi last born breed.
 
Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
Mamaeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii ni aina ya mbwa jamii ya Tanzanian Shepherd. Ni mbwa vilaza sana compared na breed nyingine za mbwa. Sifa yao kubwa ni kuwa na hofu na woga uliopitiliza. Ni wazuri kuwafuga kwa lengo la kula makombo ya chakula, huwa wako vizuri sana sehemu hiyo na wanapenda sana kutembelea majalalani.
nimechekaaaa🤣🙌
 
Back
Top Bottom