Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

Nipe sifa ya jamii hii ya mbwa

Huyo mbwa mwisho wa dunia bado atakuwepo... Huyo anapatikana africa tuu[emoji23][emoji23]
 
Yanasaidia sawa, lakini tuna wajibu wa kuwatunza.

Yaani leo nimechafukwa mpaka KOMWE LINAFUKA MOSHI.

Tunawachukulia poa sana hawa wanyama, tunataka watulinde huku tumelala ndani tukiwa tunajamba na wake zetu LAKINI hatuchukui jukumu la kuwatunza.

Unamsikia mtu ati oooh mimi nataka mbwa mkalii, mbwa mwenye maguvu kama GERMAN SHEPHERD, THUBUTUUU!!!

Mbwa halishwi, hapewi dawa, hasafishwi, amejaa minyoo tumboniiii, halafu akulinde, tena ati awe mkali, wewe umelala ndani UNAJAMBA!!
🤣🤣
 
Hao ni African basenji ni kati ya Mbwa wazuri sana kwa uvumilivu wa magonjwa na niwazuri sana kwa uwindaji na usikivu wa hali ya juu, wana fundishika vyema kwakweli. Mbwa kula kila kitu ni maamuzi ya mtunzaji hata hawa wakizungu wanakula kila kitu inategemeana na wewe unataka kumwekaje ktk ufugaji wake.
 
Hawa mbwa ni utunzaji tu Sasa wewe unawalisha ugali na kabichi hauwapi dawa atakuwa kituko tu
 
Back
Top Bottom