Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kuwa na mmoja nikamwita Smart sijui hilo jina jina nililipata wapi. Sasa kuna smart gin aiseeAu bobi [emoji23]
😂😂😂😂😂Sasa wewe komwe lako ndo utuendeshe mkuu!!? Kama bandari yetu tu yenyewe inauzwa na tunalala bila wasi wewe nani hasaa!!?
🤣🤣Yanasaidia sawa, lakini tuna wajibu wa kuwatunza.
Yaani leo nimechafukwa mpaka KOMWE LINAFUKA MOSHI.
Tunawachukulia poa sana hawa wanyama, tunataka watulinde huku tumelala ndani tukiwa tunajamba na wake zetu LAKINI hatuchukui jukumu la kuwatunza.
Unamsikia mtu ati oooh mimi nataka mbwa mkalii, mbwa mwenye maguvu kama GERMAN SHEPHERD, THUBUTUUU!!!
Mbwa halishwi, hapewi dawa, hasafishwi, amejaa minyoo tumboniiii, halafu akulinde, tena ati awe mkali, wewe umelala ndani UNAJAMBA!!