Nipeni chimbo la spear za pikipiki, sitaki kwenda china

Nipeni chimbo la spear za pikipiki, sitaki kwenda china

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nataka kuanzisha duka la spear za pikipiki,Bajaj hapa jombe na mbeya . Ila sina muda wa kusafiri kwenda china so nataka niwe naagiza spear hapa hapa Tanzania , wapi napata chimbo la spea kwa Bei kitonga , mikoa ya huku nimestudy mbeya na jombe, iringa wote wanagiza spear dar ila wanafanya Siri. Je mawakala wa pikipiki wanauza na spear ?
 
Nataka kuanzisha duka la spear za pikipiki,Bajaj hapa jombe na mbeya . Ila sina muda wa kusafiri kwenda china so nataka niwe naagiza spear hapa hapa Tanzania , wapi napata chimbo la spea kwa Bei kitonga , mikoa ya huku nimestudy mbeya na jombe, iringa wote wanagiza spear dar ila wanafanya Siri. Je mawakala wa pikipiki wanauza na spear ?
Spear utazipata kwa jamaa anaitwa sanga store. Mtafte raa raa ree ree akusaidie
 
Nataka kuanzisha duka la spear za pikipiki,Bajaj hapa jombe na mbeya . Ila sina muda wa kusafiri kwenda china so nataka niwe naagiza spear hapa hapa Tanzania , wapi napata chimbo la spea kwa Bei kitonga , mikoa ya huku nimestudy mbeya na jombe, iringa wote wanagiza spear dar ila wanafanya Siri. Je mawakala wa pikipiki wanauza na spear ?
Mimi ni muuzaji wa hizo spare parts kasoro sideal na za bajaj ila wadau nipo nao karibu. office ipo Kariakoo. Kama upo serious kweli ni dm list ya vitu unavyohitaji na aina ya pikipiki mfano kama ni za boxer 125 au boxer 150, Gn 125, GN 150, etc nitakuandalia bei za jumla ambazo tunawapa watu wa mikoani.
 
Nataka kuanzisha duka la spear za pikipiki,Bajaj hapa jombe na mbeya . Ila sina muda wa kusafiri kwenda china so nataka niwe naagiza spear hapa hapa Tanzania , wapi napata chimbo la spea kwa Bei kitonga , mikoa ya huku nimestudy mbeya na jombe, iringa wote wanagiza spear dar ila wanafanya Siri. Je mawakala wa pikipiki wanauza na spear ?

= spare.

"Spear" ni mkuki.
 
Mimi ni muuzaji wa hizo spare parts kasoro sideal na za bajaj ila wadau nipo nao karibu. office ipo Kariakoo. Kama upo serious kweli ni dm list ya vitu unavyohitaji na aina ya pikipiki mfano kama ni za boxer 125 au boxer 150, Gn 125, GN 150, etc nitakuandalia bei za jumla ambazo tunawapa watu wa mikoani.
Nje ya mada mkuu, natafuta carburetor ya yamaha t90t (4gl) niandae bei gani
 
Spear ❌️

Spare ✔️

🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Spear ni mkuki au unamaanisha spare?

Kama umewaza biashara ya spare parts ya pikipiki basi una akili sana wiki moja nimetoka kumshauri mtu aachane na wazo la kununua Ist na kuifanya uber na afanye biashara hiyo ya spare parts za pikipiki.

Ina pesa sana pikipiki ni nyingi mnoo
 
Nje ya mada mkuu, natafuta carburetor ya yamaha t90t (4gl) niandae bei gani
Mjapan huyu wa kushusha gear chini au nimekosea? mimi nadeal na mchina tu kaka. subiri jirani yangu akifungua nitakupa bei yeye ndo anadeal nazo
 
Back
Top Bottom