Kijana mpotevu sana weweWakulu wa nchito, nipo Zanzibar kama 2 weeks hivi, ila sasa naona kabisa kama kuna ka kampani ka manzi kanamiss afu kuimport ndio miti yote imeteleza nyani wote chali.
Mwenye code nzuri tafadhali afanye mauchawi maana wanaume hatujaumbiwa mateso kwanini tukule perdiem pekeetu
Bila mambo ya kijinga usingezaliwaTupo kwenye mwezi wa kutubu halafu wewe upo unawaza mambo ya kijinga jinga tu.
Wewe ni wa kupuuzwa tu.