maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Wakulu wa nchito, nipo Zanzibar kama 2 weeks hivi, ila sasa naona kabisa kama kuna ka kampani ka manzi kanamiss afu kuimport ndio miti yote imeteleza nyani wote chali.
Mwenye code nzuri tafadhali afanye mauchawi maana wanaume hatujaumbiwa mateso kwanini tukule perdiem pekeetu
Mwenye code nzuri tafadhali afanye mauchawi maana wanaume hatujaumbiwa mateso kwanini tukule perdiem pekeetu