Nipeni hoja ya msingi kwanini Raila Odinga na Boss wake Mwai Kibaki hawakushtakiwa huko ICC

Nipeni hoja ya msingi kwanini Raila Odinga na Boss wake Mwai Kibaki hawakushtakiwa huko ICC

KennedyMmari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
979
Reaction score
187
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na kusababisha vurugu hizo?Kwanini hakushtakiwa Kibaki ambaye alikuwa muhusika mkuu katika vurugu hizo??
Pili,kwanini hakushtakiwa Raila Odinga ambaye alikataa matokeo na kuwaambia wafuasi wake waanze maandamano yaliyochangia vurugu hizo??Mbona baada ya "kuhongwa" na kukubali uwaziri mkuu fujo ziliisha??hili halithibitishi uhusika wake??

Kesi hii naifananisha na kesi za kifisadi huku Tanzania zinazowakumba dagaa na kuwaacha papa wakiendelea kupeta
 
Good question, ask Omar Hassan the new Mombasa county governor elect.
 
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na kusababisha vurugu hizo?Kwanini hakushtakiwa Kibaki ambaye alikuwa muhusika mkuu katika vurugu hizo??
Pili,kwanini hakushtakiwa Raila Odinga ambaye alikataa matokeo na kuwaambia wafuasi wake waanze maandamano yaliyochangia vurugu hizo??Mbona baada ya "kuhongwa" na kukubali uwaziri mkuu fujo ziliisha??hili halithibitishi uhusika wake??

Kesi hii naifananisha na kesi za kifisadi huku Tanzania zinazowakumba dagaa na kuwaacha papa wakiendelea kupeta

Pole...Tatizo lako ni kudhani kuwa uko informed kuliko watu wengine ambao hawaoni hayo unayosema!
 
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na kusababisha vurugu hizo?Kwanini hakushtakiwa Kibaki ambaye alikuwa muhusika mkuu katika vurugu hizo??
Pili,kwanini hakushtakiwa Raila Odinga ambaye alikataa matokeo na kuwaambia wafuasi wake waanze maandamano yaliyochangia vurugu hizo??Mbona baada ya "kuhongwa" na kukubali uwaziri mkuu fujo ziliisha??hili halithibitishi uhusika wake??

Kesi hii naifananisha na kesi za kifisadi huku Tanzania zinazowakumba dagaa na kuwaacha papa wakiendelea kupeta

Just wait and you will see within the next 12 month. RO knows that he will be next to the ICC
 
ICC hawapelekwi Vibaraka ni mahakama ya kuwatisha wazalendo na wapigania haki za Raia wao! Hata Uhuru na Ruto wakikubali kuporwa Mali za wakenya Mahakama ita Prove beyond reasonable dout kuwa They are not Guilt!
 
Pole...Tatizo lako ni kudhani kuwa uko informed kuliko watu wengine ambao hawaoni hayo unayosema!

Well,that is very personal opinion and question,sio kwamba nipo well informed more than others...but naamini kuwa wewe uko well onformed...badala ya kunichambua mimi naomba unipe analysis ya topic au maada
 
ICC hawapelekwi Vibaraka ni mahakama ya kuwatisha wazalendo na wapigania haki za Raia wao! Hata Uhuru na Ruto wakikubali kuporwa Mali za wakenya Mahakama ita Prove beyond reasonable dout kuwa They are not Guilt!

nashukuru umeliona hili
 
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na kusababisha vurugu hizo?Kwanini hakushtakiwa Kibaki ambaye alikuwa muhusika mkuu katika vurugu hizo??
Pili,kwanini hakushtakiwa Raila Odinga ambaye alikataa matokeo na kuwaambia wafuasi wake waanze maandamano yaliyochangia vurugu hizo??Mbona baada ya "kuhongwa" na kukubali uwaziri mkuu fujo ziliisha??hili halithibitishi uhusika wake??

Kesi hii naifananisha na kesi za kifisadi huku Tanzania zinazowakumba dagaa na kuwaacha papa wakiendelea kupeta

Sio kosa kisheria kuagiza wananchi waandamane..kwa hivyo Odinga hakuwa na kosa lolote
 
sio maandamano yaliyoaccelerate social n political unrest in kenya?

Maandamano ni haki ya msingi ya katiba ya taifa lenye utii wa sheria..
Kosa ni kuambia wananchi wa kabila lako waandae machette wakachinje wa kabila lingine..au kuwambia wakachome wa kabila jingine waliojificha kanisani kukimbia vurugu..ama kuwabomolea nyumba zao
 
Tangu kina Uhuru,Rutto na wenzao waliposhtakiwa huko The Hague nilishangaa sana...:Kwanza,kwanini hakukamatwa Mwai Kibaki ambaye ni sawa na Laurent Gbabo wa IvoryCoast aliyeiba kura waziwazi na kusababisha vurugu hizo?Kwanini hakushtakiwa Kibaki ambaye alikuwa muhusika mkuu katika vurugu hizo??
Pili,kwanini hakushtakiwa Raila Odinga ambaye alikataa matokeo na kuwaambia wafuasi wake waanze maandamano yaliyochangia vurugu hizo??Mbona baada ya "kuhongwa" na kukubali uwaziri mkuu fujo ziliisha??hili halithibitishi uhusika wake??

Kesi hii naifananisha na kesi za kifisadi huku Tanzania zinazowakumba dagaa na kuwaacha papa wakiendelea kupeta

The whole thing is arbitrary.

Watch them clamor for technicalities to let Uhuru go scott free now that he is elected president.
 
Maandamano ni haki ya msingi ya katiba ya taifa lenye utii wa sheria..
Kosa ni kuambia wananchi wa kabila lako waandae machette wakachinje wa kabila lingine..au kuwambia wakachome wa kabila jingine waliojificha kanisani kukimbia vurugu..ama kuwabomolea nyumba zao

Nafikiri si kweli, maandamano halali na yaliyo na haki kikatiba ni yale yaliyofuata taratibu za kisheria na kuruhusiwa kwa taratibu za sheria. Leo hii upo US ama UK itisha maandamano yako bila kufuata sheria uone kitakachokutokea.
 
Nafikiri si kweli, maandamano halali na yaliyo na haki kikatiba ni yale yaliyofuata taratibu za kisheria na kuruhusiwa kwa taratibu za sheria. Leo hii upo US ama UK itisha maandamano yako bila kufuata sheria uone kitakachokutokea.

Suala hapa ni nani mwenye mamlaka ya kutoa mamlaka ya maandamano ya kisheria?huwezi kutegemea serikali inayolalamikiwa na maandamano hayo ikubali kuyabariki kufanyika..je ikiwa serikali imepiga marufuku, basi kuandamana kutakuwa kosa?..ikiwa serikali haina uwezo wa kuthibitisha hatari itokanayo na kufanyika kwa maandamano, basi ni dhahiri kuwa inakiuka haki ya watu kuelezea malalamiko yao kwa njia ya maandamano..

Swala la kujiuliza ni je, mwanzo wakati wafuasi wa ODM wakiandamana, walikuwa wameagizwa wabebe mapanga na marungu kwa ajili ya mapambano?...sababu hayo ndiyo walioamuru baadhi ya viongozi walioitwa na ICC
 
Kama unaushahidi peleka ICC vinginevyo utakuwa mbeya.
 
Back
Top Bottom