Nipeni hoja ya msingi kwanini Raila Odinga na Boss wake Mwai Kibaki hawakushtakiwa huko ICC

Nipeni hoja ya msingi kwanini Raila Odinga na Boss wake Mwai Kibaki hawakushtakiwa huko ICC

Kama unaushahidi peleka ICC vinginevyo utakuwa umbeya.
 
Suala hapa ni nani mwenye mamlaka ya kutoa mamlaka ya maandamano ya kisheria?huwezi kutegemea serikali inayolalamikiwa na maandamano hayo ikubali kuyabariki kufanyika..je ikiwa serikali imepiga marufuku, basi kuandamana kutakuwa kosa?..ikiwa serikali haina uwezo wa kuthibitisha hatari itokanayo na kufanyika kwa maandamano, basi ni dhahiri kuwa inakiuka haki ya watu kuelezea malalamiko yao kwa njia ya maandamano..

Swala la kujiuliza ni je, mwanzo wakati wafuasi wa ODM wakiandamana, walikuwa wameagizwa wabebe mapanga na marungu kwa ajili ya mapambano?...sababu hayo ndiyo walioamuru baadhi ya viongozi walioitwa na ICC

Nenda nchi yoyote ukaandamane bila kibali uone kitachokupata. Ndo maana kunakitu kinaitwa rule of law. Maandamano yale ndo yalichochea fujo zote yani watu walipata mahala ama pretext ya kuanzisha fujo kwa fenomenani ya mob saikoloji. Ukiwakusanya watu wengi wenye hasira chansi ya kufanyika fujo ni kubwa kuliko ukiwatenga. Sana sana atapiga ngumi moja kwa ukuta anaenda kusinzia.
 
Nenda nchi yoyote ukaandamane bila kibali uone kitachokupata. Ndo maana kunakitu kinaitwa rule of law. Maandamano yale ndo yalichochea fujo zote yani watu walipata mahala ama pretext ya kuanzisha fujo kwa fenomenani ya mob saikoloji. Ukiwakusanya watu wengi wenye hasira chansi ya kufanyika fujo ni kubwa kuliko ukiwatenga. Sana sana atapiga ngumi moja kwa ukuta anaenda kusinzia.

Na hii ndio maana ukawa mtanzania,
Serikali ikikunyima haki yako wewe nenda nyumbani tu ukapumzike na kulaumu.
 
This is how it started and the persons caused it:

NAIROBI, KENYA -
The opposition called Friday for three days of rallies to protest Kenya's disputed presidential election, igniting fears of more deadly violence. Police said they would not allow the demonstrations.


Days of international mediation failed to break a deadlock between President Mwai Kibaki and Raila Odinga, who came in second.
"Kenyans are entitled to protest peacefully at this blatant violation of their fundamental rights," said Anyang Nyongo, secretary general of Odinga's Orange Democratic Movemen

Opposition calls for nationwide protests - Chicago Tribune
 
Here is another Exhibit:

CHEPKIOYO, Kenya - Kenya's opposition leader demanded Saturday that the president resign and new elections be held, dropping a conciliatory stance that had brought hope for a political settlement to end weeks of postelection violence.

Raila Odinga, who accuses President Mwai Kibaki of stealing the Dec. 27 election, spoke in his traditional power base in western Kenya before cheering supporters at the funeral of a slain opposition lawmaker.

Conciliatory tone dissolves in Kenya - Chicago Tribune
 
[h=1]Annan to lead mediation efforts to end crisis[/h]
January 11, 2008
NAIROBI, KENYA - Former UN Secretary-General Kofi Annan agreed Thursday to take over talks to end the deadly turmoil linked to Kenya's presidential election, after days of international pressure resulted in nothing more than a fresh round of accusations from both sides.


The Dec. 27 election returned President Mwai Kibaki to power for another five-year term, with his opponent, Raila Odinga, coming in a close second after a vote tally that foreign observers say was rigged. More than 500 people have been killed in the ensuing violence.


http://articles.chicagotribune.com/2008-01-11/news/0801101035_1_kibaki-and-odinga-raila-odinga-african-union-chairman

*****
Kama ilivyo semwa hapo juu, wahusika na machafuko yalisababishwa na hao wawili. Ndio maana Dinga anaogopa sasa maana ukweli utatoka nje.. Just wait and see.
 
[h=2]AROUND THE WORLD[/h][h=1]Conciliatory tone dissolves in Kenya[/h]
February 10, 2008
CHEPKIOYO, Kenya - Kenya's opposition leader demanded Saturday that the president resign and new elections be held, dropping a conciliatory stance that had brought hope for a political settlement to end weeks of post election violence.
Raila Odinga, who accuses President Mwai Kibaki of stealing the Dec. 27 election, spoke in his traditional power base in western Kenya before cheering supporters at the funeral of a slain opposition lawmaker.

Conciliatory tone dissolves in Kenya - Chicago Tribune



*****

Here is another proof that Dinga is involved. Huwa hakubali kushindwa huyu jamaa. It is sad and shame.
 
[h=2]Kenyan rivals agree to end violence[/h]
February 2, 2008
Kenya's rival sides said Friday they had agreed to take action to end monthlong violence from a disputed presidential election. Kofi Annan, the former UN secretary general who is mediating, said the sides had agreed to tackle within a week the most pressing issues. Both sides called for illegal militias to be disbanded and for the investigation of all crimes connected to the violence. A document signed by both sides said an agreement might require "adjustments" to the constitution -- suggesting a power-sharing deal that would give Raila Odinga a new position of prime minister, while Mwai Kibaki remains as president.

Kenyan rivals agree to end violence - Chicago Tribune
******

Do you see, it is them who started it and ended it.
 
NEWS
[h=2]U.S. envoy: Kenya violence 'ethnic cleansing'[/h]
By FROM NEWS SERVICES | January 31, 2008
The top U.S. envoy to Africa called the month of post-election violence in Kenya "ethnic cleansing" and said Wednesday that Washington was reconsidering hundreds of millions of dollars in aid to the country. Jendayi Frazer said neither President Mwai Kibaki nor his chief rival, opposition leader Raila Odinga, is doing enough to stop the bloodshed that has claimed more than 800 lives since the disputed Dec. 27 presidential vote. Much of the violence has pitted other tribes, including Odinga's Luo, against Kibaki's Kikuyu who are the largest ethnic group.

Featured Articles about Raila Odinga - Page 4 - Chicago Tribune

****

Why?
 
ICC inajua sababu za kuwaacha Kibaki na Odinga huku wao wakiwa ndio vinara wa machafuko hayo. Wakenya wanalitambua hilo ndio maana wamewachagua Uhuru na Ruto ikiwa ni ishara kuwa ICC haikuwatendea haki. Jamii ya kimataifa itambue kuwa Kenya ni nchi huru na maamuzi yao ni huru, na uhuru huo wameutumia kumchagua Uhuru, hawapaswi kuingiliwa na taifa lolote. Hongera Uhuru na hongera Ruto pia.
 
Back
Top Bottom