Nipeni maoni yenu sijui ndo naenda kuchunwa

Nipeni maoni yenu sijui ndo naenda kuchunwa

Pacbig

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2017
Posts
1,095
Reaction score
2,087
wadau kuna manzi moja ya ukweli nasoma nayo chuo niliirushia mistari ikazingua nikaipotezea.

Nashangaa sasa hivi imenitumia txt inataka kuongea vingi sana na mimi.Nachowaza huyo demu ana boom ila round hii kacheleweshewa kwa sababu alipata sup.sasa sijui ndo naenda kuchunwa

Naomba maoni na dua zenu wadau.
 
Ulikosea sana kujiunga chuo.

Ila wewe, endelea vivyo hivyo utanielewa baada ya kuhitimu chuo kama angalau utafanikiwa kuhitimu.
 
mpuuzi... nyie ndio wale malimbukeni wazazi wenu wameuza mifugo mkaja kusoma mjini alafu mnakuja kuhangaika na madem..... utachunwa hadi izo nywele.....
 
Mmh. Wavulana mna vituko yaani kuambiwa na mtu ana vingi vya kuongea na wewe basi roho imeshakupaa hapo ulipo. Unajua utachunwa. Lol.

Kuwa mwanaume kila jambo utajua namna ya kulikabili pale utakapokutana nalo na sio kuanza kutabiri.
 
mpuuzi... nyie ndio wale malimbukeni wazazi wenu wameuza mifugo mkaja kusoma mjini alafu mnakuja kuhangaika na madem..... utachunwa hadi izo nywele.....
This has nothing to do with kuuza mifugo kuja shule kusoma
 
Kama atakuwa na shida ya pesa mpatie namba zangu, nina mkwanja mrefu unakuja kutoka Russia hapa nipo nalipia bima ziweze kutumwa [emoji39]
Nitakutafuta unikopeshe shilingi Mia tisa tu itapendeza sana.
 
wadau kuna manzi moja ya ukweli nasoma nayo chuo niliirushia mistari ikazingua nikaipotezea.

Nashangaa sasa hivi imenitumia txt inataka kuongea vingi sana na mimi.Nachowaza huyo demu ana boom ila round hii kacheleweshewa kwa sababu alipata sup.sasa sijui ndo naenda kuchunwa

Naomba maoni na dua zenu wadau.
Jiloweke kwenye maji kabisa ili ukichunnwa isiume.
 
Back
Top Bottom