Nipeni mawazo jinsi ya kuendesha biashara

Nipeni mawazo jinsi ya kuendesha biashara

Tuttyfruity

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
2,414
Reaction score
6,371
Mambo vipi wadau. Natumai mko poa na mihangaiko.

Anyways moja kwa moja kwenye mada. Nilikuja hapa miezi iliopita kuomba ushauri jinsi ya ku deal na wakopaji maana walifikia kunifilisi kabisa ikabidi nitafute mtaji nianze upya. Nashukuru sana kwa michango yenu niliweza kudhibiti kukopesha na endapo nikikopesha nakua very serious kwenye kudai. Sasa wateja wamenielewa wakiahidi pesa wanaleta siku flani basi wanatimiza.

Sasa leo nina tatizo lingine. Sina tatizo kweye kutengeneza pesa, alhamdulilah I can make money tatizo linakuja kwenye kuitunza hiyo pesa yani naweza kua na laki moja kwenye wallet lakini ndani ya siku mbili nabaki na 0. Sina watoto, nakaa nyumbani, nakula nyumbani, situmii kilevi cha aina yeyote na bado nachoma pesa kama makaratasi.

Biashara nayofanya ina faida kweli niki invest napata faida 50% lakini hiyo pesa sielewi inaenda wapi.

Wadau naombeni mnipe maujanja ya kukuza na ku save pesa nayopata. Nitashukuru sana.
 
Fungua akaunti uwe unaweka hiyo faida maana kutembea na hela mfukoni unajitafutia matatizo. Hela ikiwa mfukoni unaweza kujikuta unanunua vitu vya kipuuzi tu tena kwa bei kubwa.
 
Hapo unatakiwa ukipata tu hiyo faida/pesa uwe unabakiza fedha kidogo ya kutumia inayobaki unanunulia bidhaa/ invest hutajuta usipende kukaa na pesa kwenye wallet au eti kuweka pesa bank huo si utaratibu wa biashara/ uwekezaji.
 
Mambo vipi wadau. Natumai mko poa na mihangaiko.

Anyways moja kwa moja kwenye mada. Nilikuja hapa miezi iliopita kuomba ushauri jinsi ya ku deal na wakopaji maana walifikia kunifilisi kabisa ikabidi nitafute mtaji nianze upya. Nashukuru sana kwa michango yenu niliweza kudhibiti kukopesha na endapo nikikopesha nakua very serious kwenye kudai. Sasa wateja wamenielewa wakiahidi pesa wanaleta siku flani basi wanatimiza.

Sasa leo nina tatizo lingine. Sina tatizo kweye kutengeneza pesa, alhamdulilah I can make money tatizo linakuja kwenye kuitunza hiyo pesa yani naweza kua na laki moja kwenye wallet lakini ndani ya siku mbili nabaki na 0. Sina watoto, nakaa nyumbani, nakula nyumbani, situmii kilevi cha aina yeyote na bado nachoma pesa kama makaratasi.

Biashara nayofanya ina faida kweli niki invest napata faida 50% lakini hiyo pesa sielewi inaenda wapi.

Wadau naombeni mnipe maujanja ya kukuza na ku save pesa nayopata. Ntashukuru sana.
Kuna wale wanaocheza upatu ili kuwasaidia katika hilo.
 
Unakopesha kwa riba mtaani? Hiyo 50% ndio riba unayowachaji unaowakopesha?
 
Mambo vipi wadau. Natumai mko poa na mihangaiko.

Anyways moja kwa moja kwenye mada. Nilikuja hapa miezi iliopita kuomba ushauri jinsi ya ku deal na wakopaji maana walifikia kunifilisi kabisa ikabidi nitafute mtaji nianze upya. Nashukuru sana kwa michango yenu niliweza kudhibiti kukopesha na endapo nikikopesha nakua very serious kwenye kudai. Sasa wateja wamenielewa wakiahidi pesa wanaleta siku flani basi wanatimiza.

Sasa leo nina tatizo lingine. Sina tatizo kweye kutengeneza pesa, alhamdulilah I can make money tatizo linakuja kwenye kuitunza hiyo pesa yani naweza kua na laki moja kwenye wallet lakini ndani ya siku mbili nabaki na 0. Sina watoto, nakaa nyumbani, nakula nyumbani, situmii kilevi cha aina yeyote na bado nachoma pesa kama makaratasi.

Biashara nayofanya ina faida kweli niki invest napata faida 50% lakini hiyo pesa sielewi inaenda wapi.

Wadau naombeni mnipe maujanja ya kukuza na ku save pesa nayopata. Nitashukuru sana.
leta pesa nikutunzie mm ila password unakuwa nazo ww. ndani ya mwaka mmoja tunainunua mbezi beach yooote mpaka goba

nina kipaji cha kutunza feda (ubahili)
apa mfukon nina laki sjawah itumia tangu mwez wa nane.
 
...pesa ina nguvu lakini ukiwa na elimu ya ziada kuhusu pesa,unapata nguvu zaidi ambayo itakisaidia kuitunza hyo pesa na kuizalisha zaidi...

Usiogope mkuu,dunia kila mmoja anaweza akawa na uwezo wa kutafuta pesa kadiri atakavyo weza na akazipata lakini si Kila mmoja anaweza kuzitunza pesa na kuziendeleza ziweze kuzaliana zaidi...

Ndomana leo kuna watu wanashinda michezo ya bahati nasibu (kamari),wapigaji wa madili,wachimbaji wa madini,waajiriwa, na wafanyabishara wengne,wanapata pesa nyingi sana lakini baada ya muda wanarudi Kwenye msoto...sometime wanajishangaa au kusema wamerogwa, hawajui ata pesa wamezipeleka wapi.....si kwamba akili za kutunza na kuziendeleza pesa walikuwa hawana laaah tatizo ni uelewa mdogo kuhusu pesaa.

Ubahili na utunzaji pesa ni vitu viwili tofauti...coz ubahili ni ile hali ya kujinyima,ukiwa unafanya biashara afu ukawa mbahiri..maisha yako yatakuwa ayana tofauti na wale watu wa ndago... ahahaaa

Kwa ufupi.
Kwanza, kumbuka kutunza kumbukumbu zako zote... kumbukumbu za manunuzi,matumizi na mapato yako yote...kama utaweza kuandaa vitabu vyako vya biashara iitakuwa poa zaidi.

Pili,kumbuka kujilipa ktk biashara yako jilipe kulingana na faida utakayopata (napendekeza ujilipe asilimia 50% au 70% ya faida yako).... ahaahaa, eeeh jilipe vzur ili usije ukajiibia na kama watu wa TRA wanakuhusu apo unawazungusha kdogo...
Yaani mtu yoyote Alie jiajiri (mfanya biashara) katka gawio lazima ajiangalie yeye kwanza then ndo wafanyakazi wake mwsho serikali yake (TRA).

Sasa wale waajiriwa kazi wanayo kabla gawio halijafka mikononi mwao, mwajiri anachukua chake,serikali pia inachukua chake then kinachobaki anapewa yeye... ahahaa,huruma Sana lakini ndo hvyo maisha yanaenda kwa kujifariji.

Tatu..kama tayar ushajiripa mshahara wako,utumie mshahara wako kwa mambo yako binafsi....acha biashara yako ijiendeshe yenyewe,kwa maana usichanganye miamala yako na ya biashara...ifungulie biashara account yake bank Kama utashindwa kuizungusha au kuinvest ile faida ya biashara.

Mwisho,biashara ikikua jitahidi pesa upeleke kununua assets (shares,bonds,apartment, n.k)....ambazo zitaweza kujiendesha zenyewe na kukutengenezea pesa zaid..

Pia nakushauri jijengee tabia ya kusoma vitabu,na nakushauri anza na kitabu cha R.KIYOSAKI,RICH DAD POOR DAD.
 
Unakopesha kwa riba mtaani? Hiyo 50% ndio riba unayowachaji unaowakopesha?
No sifanyi hiyo ishu. Kuna biashara nafanya faida ndo hiyo.
 
Back
Top Bottom