Nipeni mawazo wadau kupata namba ya huyu binti

The lastborn9319

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2021
Posts
852
Reaction score
1,745
Nimeomba namba Kwa pisi flan Kali kichiz ila sasa nilikuwa Niko vyombo nililewa vibaya mno, pisi iliniambia Huwa hainywi pombe, sasa washkaji naomba mnisaidie ile namba aliyonipa nilisahau ku-save kutokana na ulevi.

Nataka nile utamu nisaidieni nipate namba Tena, nimwambie Nini Ili anipe namba Tena bila kuhisi chochote, maana wakati nachukua namba alijua kabisa kama Niko vyombo, ila alinipa sema nilisahau ku-save kutokana na pombe.

Ila ni demu flani mzuuuuuuri kichiz sitaki kumkosa, wadau nipeni ushauri. Nimempenda sana naweza acha pombe Kwa ajil take dah aisee baharia nimepatwa.
 
Utashangaa akikuzingua...utaumia afu utakunywa tena ili ulewe umtukane...
 
Mbona hamnipi namna Gani vp ina maana wadau mmeishiwa mbinu!!;???..mi bado Niko pombe,ila pisi kiukweli nimeielewa toka moyoni,naweza nikaacha pombe Kwa ajil yake..shusheni mavitu basi,nimefanya kosa kusahau ku-save namba yake,kitu kibaya zaidi pisi ilionyesha ushirikiano 100%..hii manzi naweza tangaza ndoa maxima...ubaharia niuache..naombaje namba tena
 
Kamuombe tena hakukupa huyo.
 
Khaa washkaji nimeshangazwa na uwez wa madem kushika namba za cm.pisi imenitext muda c mrefu oyoo...ubaharia sasa bas kudadeki mwamba naoa
 
Zikikata tu automatically namba itajisevu tu,ondoa hofu baharia.
 

Kichwa cha chini kinaonekana kinakuongoza utapigwa na kitu kizito sio muda
 
Amnaa na sup asbuh af rud..tukushauri..sahv alilipia cio yako hii
 
Amkaa na supu asbuh af rud..tukushauri..sahv bd una wengee
 
Unalewaje asee mpaka demu anajua umelewa?Anyway endelea kuchangia pato la taifa 😁usisahau kua makini na visenti vyako mkuu kama ela zako za mawazo kama zetu achana nae tu
 
Maanina, shule na vyuo vimefungwa JF kilamtu anafungua uzi... Bastard
 
We jamaa bhna [emoji23][emoji23][emoji23]sa si tunamnua huyo demu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…