Nipeni mbinu ya kuzuia hili

Nipeni mbinu ya kuzuia hili

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Nilikua nimelamba dume mpaka julai ila naona wamewahi kunifungulia bandani

Anyway nilikua na swali inawezekana kweli kuzuia kusimamisha maana sometime bila kutegemea upo kwenye daladala mara paap ngoma unasensi kabisa hapa naaibika

Nipeni mbinu ya kuzuia hili
 
No way out may be uweke mikono kwenye pocket uku ukihamisha fikra iwe inawaza vita vya putini ndio italala
Nilikua nimelamba dume mpaka julai ila naona wamewahi kunifungulia bandani

Anyway nilikua na swali inawezekana kweli kuzuia kusimamisha maana sometime bila kutegemea upo kwenye daladala mara paap ngoma unasensi kabisa hapa naaibika

Nipeni mbinu ya kuzuia hili
 
Hivi ukiibana na plasta au ujifunge bandeji kuzunguka kiuno na yenyewe ukaibania humo bado itatuna tuu...!!!?

Nimewaza hivi makende yangekuwa yanavimba/yanasimama kama kirungu yeye sijui ingekuweje....!??

Akili za bibi sijui zinawaza nini weekend yote hii 😅😅
 
Na kweli bibi hunitakii mema hayo maumivu yake utaenjoy show
Hivi ukiibana na plasta au ujifunge bandeji kuzunguka kiuno na yenyewe ukaibania humo bado itatuna tuu...!!!?

Nimewaza hivi makende yangekuwa yanavimba/yanasimama kama kirungu yeye sijui ingekuweje....!??

Akili za bibi sijui zinawaza nini weekend yote hii 😅😅
 
Hivi ukiibana na plasta au ujifunge bandeji kuzunguka kiuno na yenyewe ukaibania humo bado itatuna tuu...!!!?

Nimewaza hivi makende yangekuwa yanavimba/yanasimama kama kirungu yeye sijui ingekuweje....!??

Akili za bibi sijui zinawaza nini weekend yote hii 😅😅
We bibi wewe...
Lakini yangekua yanatuna, bas tungejua na dress code inayoeza kuyabeba
 
Hivi ukiibana na plasta au ujifunge bandeji kuzunguka kiuno na yenyewe ukaibania humo bado itatuna tuu...!!!?

Nimewaza hivi makende yangekuwa yanavimba/yanasimama kama kirungu yeye sijui ingekuweje....!??

Akili za bibi sijui zinawaza nini weekend yote hii [emoji28][emoji28]
Akili ya bibi inawaza ukuni[emoji23]
 
We bibi wewe...
Lakini yangekua yanatuna, bas tungejua na dress code inayoeza kuyabeba

Hapo kwenye dress code hapo nimechekaaaa baada ya kuwaza vile mngefanana....🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kila siku nasonga ugali wa motooo, mwiko wangu ni imara unanisongesha vyema [emoji39]
Kabisa bibi, sogea huku nikupe ukuni madhubuti, wenye moto wa kutosha kuivisha vya kwenye chungu

Gari bovu huvutwa na zima.[emoji23]
 
Kabisa bibi, sogea huku nikupe ukuni madhubuti, wenye moto wa kutosha kuivisha vya kwenye chungu

Gari bovu huvutwa na zima.[emoji23]

Weeeh ukuni wa babu unakomboleza ukoko woooteeeee...

Nitake nini tena mie, akuuuu😅😅
 
Back
Top Bottom