Uchaguzi 2020 Nipeni miaka mitano muone maajabu

[emoji122][emoji122][emoji122]
Mimi bado sijaona mbadala wa JPM.
Wiki iliyopita jmosi nilikuwepo pale jamhuri Dodoma kumsikiliza JPM,
Leo nimeenda viwanja vya CCM Mbeya kumsikiliza Lisu.
Naona Lisu bado Sana
 
Kama ni watu wote mbona wabunge wamepewa fedha zao zote
 
Sasa hivi tunaonajionea miujiza hayo maajabu hapana aisee
 
Maajabu ya bwana Magufuli hayaishi.

Chini ya utawala wake ametamka mara nyingi kwamba majimbo yaliyokosa miradi ya maendeleo ni kwa sababu walichagua wabunge kutoka vyama vya upinzani.

What a stupid remark from the head of the state.

Huyo ndio anaitwa msomi eti.
 
Hivi utawaongezea mishahara wafanyakazi alafu serikali iache kuwekeza kwenye miradi
Leo Magufuli akiongeza mishahara utakuja hapa hapa kushangilia huku unamuita "jembe" la awamu ya tano!

Jamani, tupunguze kuwa viherehere na vifwata upepo! Jifunze kuwa na FIKRA HURU!

Wengi wenu hamuelewi hata basics za kiuchumi. Kazi yenu ni kupiga makofi tu na kubwata!
 
Mama yako angedhalilishwa hivi usingeandika huu upuuzi wako.


 
Magufuli anatosha sana kuirudisha Tanzania kwenye mstari. Tanzania ndio nchi ambayo ilijipambanua kukomboa Africa na kufanikiwa. Baada ya ukombozi na sasa chini ya Rais Magufuli Tanzania imejipambanua kuiendeleza kufikia kiwango cha nchi za Europe. So far at the moment Rais Magufuli anaonyesha kila dalili ya kufanikiwa ingawa wapo wachache wanaombeza.

Hata wakati wa ukombozi wapo waliobeza. Ignore Tanzania and John Pombe Magufuli na utaona Tanzania inayomeremeta. Utakapofika uchaguzi wa 2025 Tanzania itakuwa kwenye level nyingine kabisa economically and politically siasa zetu zitabadilika na kuangalia jinsi tunavyoweza kujitegemea na kuwa tegemeo la nchi nyingine duniani kwa sababu moja kubwa; Afrika haihitaji kuwategemea foreigners kuja kuwatatulia matatizo yao. (Bwawa la Mwalimu Nyerere litakuwa limekwisha, SGR itakuwa imefika makao makuu ya nchi Dodoma).

Watanzania walikuwepo toka enzi na enzi, wezi wa kisasa baada ya kuvamia wamekuwa wanajitajirisha na uroho wa viongozi wachache wasio waaminifu. Wana JF tuombe uzima tu ifikapo 2025, will you be there?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…