Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
- Thread starter
-
- #21
Asante mwaya,yani mm mwenyewe mbona nimebaki na mshangao wamaisha,yani nilikera ile picha inajirudia mawazo kila wakati,sijui hawa watu wanapatwa na nn?Pole mwaya, haya mambo yanakera asikwambie mtu! Mi mwenyewe niliwahi nusurika na hii kitu, tulikuwa tumesimama kwenye daladala na nyuma yangu alikuwepo huyo mbaba alotaka kunifanyia huo ubazazi. Yaani ka bahati ikatokea nikageuka, my dear nilibaki kuduwaa........!!
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome
Asante Igwe binafsi nahic km hana tatizo basi sijui tena mungu anajua kilicho akilin mwake!Pole sana da Canta,...ila nafikiri huyo jamaa ni punguani,...amejidhalilisha na kutudhalilisha watu wa jinsia yake
Asante Bebii,jaman si angemalizia hata bafuni wakati anaoga mambo gani yakuleteana mikosi asubuhi asubuhi!yani kama amelala mzungu wa nne na mkewe ndo akuharibie siku asbhi yote iyo dear loh pole sana wanaume hawa khaaa........................
Asante Ram,kwakweli nashukuru kwani mnanisaidia kuwaaminisha watu kuwa haya mambo yapo na watu wanatufanya!Pole dia, hata mimi iliwahi kunitokea, sijui hata huwa wanamatatizo gani, msemo wa bebii ungekuwa na kiwembe ungemtahiri paleplae
Kwakweli hili linakera hasa anayekufanyia anaonekana ni mtu mwenye akili timamu,na mtu wa hivi sijui hiyo akili yake inaweza kuwaelewa hata hao wataalamu wa saikolojia!Kuna case kama hizi nimeishawahi kuzisikia na kuziona, ingawa huwa nakaa najiuliza tatizo linakuwa ni nini hadi ufikie to that extent nafikiri kuna watu huwa wanahitaji kwenda kumuona Psychiatrist
Yeah_something is clicking in ma head!..inawezekana hivi vitu vipo na vinafanyika kwenye jamii yetu_maake naona watu wengi wanashuhudia,.....ila its more than inhuman...ngoja namuona naye Bebii anachungulia hapa chini alete ushuhuda wake na namna alivyo deal nalo,....poleni sana
Pole sana Bi Cantalisia hayo ni mambo yakijinga yanafanywa na watu wajinga ktk jamii!!!!!!!!Ila kwa ushauri wangu usitoe nafasi kwa mtu kukufanyia vitu namna hiyo!!!!!!! Kila wakati uwe alert na mazingila yaliyo kuzunguka, chukua hatu haraka mtu yeyote akijabu kefeki situation, be very serious and sensitive to the saroundings!!!!!!! Don't dose in public busses or vehicles, u will be robbed!!!!!!Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata siti sio ya dirishan,gari ilikuwa imejaa sana watu wengi walikuwa wamesimama,pembeni yangu alikuwepo mbaba kwa kumkadiria ni km miaka 35-40 hivi alikuwa nadhifu na shati lake lilikuwa na jina la benki moja kubwa hapa mjini,yule baba kadri safari ilivyoendelea alizidi kunisogelea mpaka akawa ameegemea kile kiti na kunigusa kwenye bega la kushoto akiwa anatizama dirishan.
Kutokana na hali ya hewa ya leo ya mvua kulikuwa na folen sana tulipofika maeneo ya moroco nikawa nasinzia ila sio usingizi mzito,nikawa nahisi km kuna kitu kinanipapasa au km kusugua kwa mbali nikafumbua macho nikamwangalia yule baba naye akaniangalia nikawa sijaelewa kitu nikaendelea kulala,baada ya muda tena ile hali ikaanza nikisikilizia kwa muda nikiwa bado sijagundua kinachoendelea nikamtizama tena yule baba hakunitizama akawa anaangalia nje,nikendelea kulala ila nikiwa nasubiri ule msuguo uanze,na kweli haikupita mda ukaanza tena kwa nguvu na kwa kasi nikafumbua macho nakuangalia ile sehemu, yule baba alikuwa amefungua zipu ya suruali yake na anasugua uume wake kwenye mkono wangu kati ya kiwiko na bega,kwakweli nilishituka sana na yeye wala hakujua km nimemuona akaendelea na mchezo wake.
wandugu gafla sikujua nifanyeje nilipata hasira nikajikuta nimesimama gafla na kumchapa kofi kali yule baba kabla hasema kitu nikapiga na lingine akabaki amepigwa butwaa suruali iko wazi watu bado wanamshangaa mie nikamwita konda nakuomba asimamishe gari yule baba ndio akastuka na kukimbilia mlangoni akitashuka watu wakamzuia wakanza kumpiga wakizani ni mwizi na ameniibia nikawaambia sio mwizi msimpige akashuka huku akiwa anafunga suruali maeneo ya ubalozi, watu wakanza kuniuliza kwann nimempiga niliwaelezea kilichotokea walishangaa na baadhi kunilaumu kwann sikuacha wampige sikuweza kusema kitu nilinyamaza nikiwa na hasira kupita kiasi,
kwanza nipen pole balaa hili ambalo nimekuwa nikisikia story tu kwa watu na magazetini, na nawauliza wababa/wakaka ni kitu gani kiasababisha baadhi yao kufanya vitendo hivi,ni makusudi au ni hali inayowakuta bila kujitambua au nikuendekeza tamaa za kijinga?nawasilisha.
Asante mwaya,yani mm mwenyewe mbona nimebaki na mshangao wamaisha,yani nilikera ile picha inajirudia mawazo kila wakati,sijui hawa watu wanapatwa na nn?
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome
Yaani IGWE hawa watu sijui wana roho gani. Hawaogopi wala hawana aibu. Kweli mtu mzima na akili yako unathubutu kufanya jambo la namna hiyo? Na izo zipu sijui zinafunguliwaga saa ngapi.
Asante mkuu,hata mie naona ni tatizo hili limetukuta wengi sijui hii nayo ni fashen au ni ugonjwa mungu anajua!Yeah_something is clicking in ma head!..inawezekana hivi vitu vipo na vinafanyika kwenye jamii yetu_maake naona watu wengi wanashuhudia,.....ila its more than inhuman...ngoja namuona naye Bebii anachungulia hapa chini alete ushuhuda wake na namna alivyo deal nalo,....poleni sana
Utakuwa ni ukichaa mpya umeingia mjini!Nadhani ni aina ya ukichaa....
Asante mkuu,sijui kiama ndio kimekaribia!duuh hilo mbona balaa...............pole sana dada angu
Asante Mama D,ni kweli na ndio maana abiria wengine walianza kumpiga,wanawake tunakutwa na mengi jaman!pole sana mpenzi, natamani ningekua humo kwenye daladala nisingemwachia hivihvi!!!