Nipeni pole,wakaka/wababa nisaidien kujua 7bu ya baadhi yenu kufikia kufanya upuuzi

Asante mwaya,yani mm mwenyewe mbona nimebaki na mshangao wamaisha,yani nilikera ile picha inajirudia mawazo kila wakati,sijui hawa watu wanapatwa na nn?
 
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome

Pole dia, hata mimi iliwahi kunitokea, sijui hata huwa wanamatatizo gani, msemo wa bebii ungekuwa na kiwembe ungemtahiri paleplae
 
Kuna case kama hizi nimeishawahi kuzisikia na kuziona, ingawa huwa nakaa najiuliza tatizo linakuwa ni nini hadi ufikie to that extent nafikiri kuna watu huwa wanahitaji kwenda kumuona Psychiatrist
 
Pole sana da Canta,...ila nafikiri huyo jamaa ni punguani,...amejidhalilisha na kutudhalilisha watu wa jinsia yake
Asante Igwe binafsi nahic km hana tatizo basi sijui tena mungu anajua kilicho akilin mwake!
 
yani kama amelala mzungu wa nne na mkewe ndo akuharibie siku asbhi yote iyo dear loh pole sana wanaume hawa khaaa........................
Asante Bebii,jaman si angemalizia hata bafuni wakati anaoga mambo gani yakuleteana mikosi asubuhi asubuhi!
 
Pole dia, hata mimi iliwahi kunitokea, sijui hata huwa wanamatatizo gani, msemo wa bebii ungekuwa na kiwembe ungemtahiri paleplae
Asante Ram,kwakweli nashukuru kwani mnanisaidia kuwaaminisha watu kuwa haya mambo yapo na watu wanatufanya!
 
Kuna case kama hizi nimeishawahi kuzisikia na kuziona, ingawa huwa nakaa najiuliza tatizo linakuwa ni nini hadi ufikie to that extent nafikiri kuna watu huwa wanahitaji kwenda kumuona Psychiatrist
Kwakweli hili linakera hasa anayekufanyia anaonekana ni mtu mwenye akili timamu,na mtu wa hivi sijui hiyo akili yake inaweza kuwaelewa hata hao wataalamu wa saikolojia!
 

Yaani IGWE hawa watu sijui wana roho gani. Hawaogopi wala hawana aibu. Kweli mtu mzima na akili yako unathubutu kufanya jambo la namna hiyo? Na izo zipu sijui zinafunguliwaga saa ngapi.
 
pole sana mpenzi, natamani ningekua humo kwenye daladala nisingemwachia hivihvi!!!
 
Pole sana Bi Cantalisia hayo ni mambo yakijinga yanafanywa na watu wajinga ktk jamii!!!!!!!!Ila kwa ushauri wangu usitoe nafasi kwa mtu kukufanyia vitu namna hiyo!!!!!!! Kila wakati uwe alert na mazingila yaliyo kuzunguka, chukua hatu haraka mtu yeyote akijabu kefeki situation, be very serious and sensitive to the saroundings!!!!!!! Don't dose in public busses or vehicles, u will be robbed!!!!!!
 
Asante mwaya,yani mm mwenyewe mbona nimebaki na mshangao wamaisha,yani nilikera ile picha inajirudia mawazo kila wakati,sijui hawa watu wanapatwa na nn?

nafikiri wanapatwa na mwezi.
 
pole mwaya.....wanaume ndio zao siku hizi tena bora umetoa hii ili waone uvundo wao wanaoufanya kwenye magari
cz mi binafsi wk iliyopita nlipanda gari lililojaa sana wakt nakuja kazini asbh
si unajua mambo ya kusimama...nikawa nimesimama cha ajabu kuna kaka kila gari likiyumba bs ye yuko kwa nyuma yangu
yan yuko usawa wa makalio yangu heeeeeeeee minikaona anazidi nlichomwambia kaka naomba ujiheshimu hata kama gari liko full huwezi kuambatana na mm kiivo bwana........ndo kuondoka kwake
 
dah pole sana cantalisia uwe unatembea hata na kiwembe ungemtoa hata sikio akome

aaaaaaagrrrrrr weweeeeeeee wachaa wembe noumer hata kama ni azabu hiyo imepitiliza, dah nimesisimka ulivyotaja wen=mbe kwa maeneo nyeti kama hayo...

hii stori sidhani kama inaukweli kwa mtu kutoa dudu yake na kukuwekea kwenye mkono labda ni kichaa huyo. KAMA ni kweli basi pole sana next time mpe ngumi jiwe ya pua, vibao vya wanawake haviumi, ngumi ya pua ndo safi
 
Yaani IGWE hawa watu sijui wana roho gani. Hawaogopi wala hawana aibu. Kweli mtu mzima na akili yako unathubutu kufanya jambo la namna hiyo? Na izo zipu sijui zinafunguliwaga saa ngapi.

nafikiri wana roho ya shetani_wanaogopa lakn hawana aibu mkuu
 
Nadhani ni aina ya ukichaa....
 
Asante mkuu,hata mie naona ni tatizo hili limetukuta wengi sijui hii nayo ni fashen au ni ugonjwa mungu anajua!
 
pole sana mpenzi, natamani ningekua humo kwenye daladala nisingemwachia hivihvi!!!
Asante Mama D,ni kweli na ndio maana abiria wengine walianza kumpiga,wanawake tunakutwa na mengi jaman!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…