Nipeni tathmini za performance ya Mohammed Outtara akiwa pale Simba na sababu za kumuita mbovu

Nipeni tathmini za performance ya Mohammed Outtara akiwa pale Simba na sababu za kumuita mbovu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Mmoja wa wachezaji waliopewa "Thank You" pale Simba ni Mohammed Outtara. Huyu ni mchezaji ambaye kila mara watu walipokuwa wakiongelea wachezaji wabovu waliopo Simba na huyu alikuwa anatajwa na sijawahi kuelewa kwa vigezo vipi.

Najua wengi wana refer mechi ya Simba na Yanga nadhani itakuwa ya Ngao ya Jamii na kiukweli sina kumbukumbu sana kwamba alikuwa na performance mbovuuuu kiasi hicho.

Mimi niliendelea kumfuatilia katika kila mechi aliyopangwa msimu huu na kwa kweli sikuwahi kumuona kama ni mchezaji mzigo. Kwa upande wangu nilimuona kama ni mlinzi wa kisasa anayetumia akili kuliko nguvu.

Nadhani kilichomkwamisha ni kuletwa pale Simba kwa pendekezo la kocha Zoran ambaye hakukaa wala kuondoka kwa amani pale Simba ila siwezi kukubaliana na sababu ya uwezo wake.

Niambieni game gani ulimuona akicheza ukasema Outtara ni mbovu na aliicost vipi timu.
 
Ottara alipoteza kujiamini kabisa Baada ya Ngao ya Jamii Mchezo wa Simba na Yanga ulioisha kwa goli 2-1.

MAGOLi yote mawili Mayele ALIPITA mbele yake.

1. Ni MZITO MNO ANAKOSA flexibility kugeuka kwa haraka tacling nk.

2. Speed yake ni ndogo sana HASA kukimbia.

3. Anakaba kwa Macho hawezi kupora MIPIRA kwa maadui.

SIMBA WALITAKA KUCHUKUA BEKI WA CAMELOON. KOCHA ZOLAN MAKI AKAINGILIA DILI AKAWA WAKALA WA DEJAN NA OTTARA.

Nahisi nimekujibu kiufundi kabisa.
🙏
 
Ottara alipoteza kujiamini kabisa Baada ya Ngao ya Jamii 2-1.

MAGOLi yote mawili Mayele ALIPITA mbele yake.

1. Ni MZITO MNO ANAKOSA flexibility kugeuka kwa haraka tacling nk.

2. Speed yake ni ndogo sana HASA kukimbia.

3. Anakaba kwa Macho hawezi kupora MIPIRA kwa maadui.

SIMBA WALITAKA KUCHUKUA BEKI WA CAMELOON. KOCHA ZOLAN MAKI AKAINGILIA DILI AKAWA WAKALA WA DEJAN NA OTTARA.

Nahisi nimekujibu kiufundi kabisa.
[emoji120]
Ngao ya hisani goli la pili kosa ni la Inonga sema jamaa hua ni mjanja akifanya makosa anawauzia wenzake msala kwa kujifanya kaumia na kasha wa win mashabiki, Inonga ana chomesha mara kadhaa ila lawama anapewa Onyango hata ile mechi ya Raja Casablanca goli la kwanza ni hivyo hivyo mbwembwe zake mtu anachukua mpira baadae lawama kwa Onyango
 
Ottara alipoteza kujiamini kabisa Baada ya Ngao ya Jamii 2-1.

MAGOLi yote mawili Mayele ALIPITA mbele yake.

1. Ni MZITO MNO ANAKOSA flexibility kugeuka kwa haraka tacling nk.

2. Speed yake ni ndogo sana HASA kukimbia.

3. Anakaba kwa Macho hawezi kupora MIPIRA kwa maadui.

SIMBA WALITAKA KUCHUKUA BEKI WA CAMELOON. KOCHA ZOLAN MAKI AKAINGILIA DILI AKAWA WAKALA WA DEJAN NA OTTARA.

Nahisi nimekujibu kiufundi kabisa.
🙏
Eleza vizuri basi hiyo 2-1 ilikuwa nini?
 
Ngao ya hisani goli la pili kosa ni la Inonga sema jamaa hua ni mjanja akifanya makosa anawauzia wenzake msala kwa kujifanya kaumia na kasha wa win mashabiki, Inonga ana chomesha mara kadhaa ila lawama anapewa Onyango hata ile mechi ya Raja Casablanca goli la kwanza ni hivyo hivyo mbwembwe zake mtu anachukua mpira baadae lawama kwa Onyango
Uko sahihi kabisa kweli unaujua mpira
 
Kati ya Onyango na Outtara we ungempanga nani?
Nampanga Onyango bila shaka yoyote, Onyango ana mapungufu lakini mapungufu yake ni afadhali ukilinganisha na Outtara
Huyo Outtara sio beki kabisa ni mtu mzito sana
 
Nampanga Onyango bila shaka yoyote, Onyango ana mapungufu lakini mapungufu yake ni afadhali ukilinganisha na Outtara
Huyo Outtara sio beki kabisa ni mtu mzito sana
Duh! Naheshimu maoni yako ila......
 
Wachezaji hawapewi muda wa kupangwa halafu wanatemwa ila Kuna wachezaji Kila mechi wanapangwa haya gemu zikiwakataa
Ni jambo la kushangaza sana. Nimemcheki Outtara gemu zote alizopangwa na hakuna gemu ambayo nilikuwa roho juu kuwa anaweza kuchomesha muda wowote, huwa nashangaa sana watu wanapomtaja kuwa mbovu. Nahisi watu wanafuata tu mkumbo bila kumuangalia kwa macho yao wenyewe.
 
Kama una mda angalia highlights za mechi ya Simba na Azam ile ya 1-1 goli la Dube sekunde ya 16, mechi ya Namungo na Simba, Mbeya city na Simba
Outtara hakucheza hizo gemu za Azam wala Namungo. Na hizo mechi unaona ubovu wa kina Onyango na Kennedy.
 
Ngao ya hisani goli la pili kosa ni la Inonga sema jamaa hua ni mjanja akifanya makosa anawauzia wenzake msala kwa kujifanya kaumia na kasha wa win mashabiki, Inonga ana chomesha mara kadhaa ila lawama anapewa Onyango hata ile mechi ya Raja Casablanca goli la kwanza ni hivyo hivyo mbwembwe zake mtu anachukua mpira baadae lawama kwa Onyango
Ngao ya jamii nakubaliana na wee, bao LA pili ni Inonga ndo alisababishaaa, afu mzigo katupiwa outtara
 
Back
Top Bottom