sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hapo zamani kila mtu ambae jina lake lilianzia "Mwa" nilidhani ni mnyakyusa, ila baada ya muda nikajua kwamba watu wenye haya majina wamesambaa makabila mengi ya Mbeya, Iringa na Njombe
Wanyakyusa wapo kina Mwakyusa,
Wahehe wapo kina mwakatundu (mfano msanii mike tee)
Wabena wapo kina Mwajombe
Wasafwa wapo kina Mwashinga.
Wakinga wapo kina Mwakipande
Na makabila mbalimbali ambayo yapo hayo maeneo si ajabu kukuta haya majina.
Naombeni mnipeni elimu juu ya hili fumbo
Wanyakyusa wapo kina Mwakyusa,
Wahehe wapo kina mwakatundu (mfano msanii mike tee)
Wabena wapo kina Mwajombe
Wasafwa wapo kina Mwashinga.
Wakinga wapo kina Mwakipande
Na makabila mbalimbali ambayo yapo hayo maeneo si ajabu kukuta haya majina.
Naombeni mnipeni elimu juu ya hili fumbo