Komaaa vyuo vyenye masomo ya jioni weka ratiba yako vozuri punguza kilaji uwe muda mzuri kusoma.....komaa sasa kabla hujavuka 45Hello happy Sunday...
Ni muda tena narudi kwenu baada ya kitambo.
Rafiki wa muda mrefu amepata changamoto kidogo,kwamba amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo ndani ya mkoa alipo na wakati huo ana mke na mtoto mmoja na nimuajiriwa wa serikali .
Kujiendeleza huko kunakuja kwa sababu ya kuwa karibu na kituo chake cha kazi muda wa ziada baada ya kazi.
Swali ni je?
-Kuna mtu aliishafanikisha jambo hilo?
-Je mbinu gani ni bora na rahisi atakazozitumia kuweza kumtenga na majukumu ya kifamilia kwa muda na kutulia kusoma?
Natanguliza shukrani....
Uko wapi ? Umataka kusoma nini ? Vyuo vipo eneo lako ? Unafanya kazi gani kwa sasa?Unaweza kuelezea kwa undani kidogo maana msuli na huku unasumbuliwa na mke siyo haba..π€π€
Respect ππ..Mimi nmesoma hvo na nkamaliza fresh kbsa.
Subiri nikupe mjini mipango.
1. Kama hajapewa likizo ya masomo, mwambie aulize kama kuna evening classes na hizo ndo asome.
2. Akae vzur na familia awaeleze hali halisi, so itapunguza usumbufu.
3. Hapo ameenda kutafta cheti kwaio afocus kwenye kupass, mambo ya best student awaachie watoto wa form 6 waliokuja na ushauri from home.
4. Elimu ya ukubwani hainaga uzalendo, ajifunze kupiga chabo na kutafta madesa. Cha muhim n kutopata sup
5. Atafte katoto kadogo kenye akili mingi hasa ka kike, atengeneze urafiki nako wa heshima, huyo ndo atakua mwalim wake maana vichwa vyao ni kama smaku, vinanasa balaa. Muhm awe anakaoa hela ya lunch every now n then .
6. Asilete mambo ya kidingi kwakua ye ana familia, awe humble na mtu wa stori mob, watoto watamsaidia sana.
7. Chonde chonde, asiwe kibolo dinda, akomae na mkewe, akiendekeza nyapu za chuo atafilisiwa na shule atafeli.
8. Aende akaongee na lecturers wake wote about his situation, yes hawatamlegezea kwenye mitihani lakn hawatamsumbua kwenye vitu kama utoro n.k. cha muhim awaeleze kua anajilipia ada yeye mwenyewe kwaio lazma afanye kazi na kusoma pia.
Sidhani kama itakua imekaa powa! Msuli wa chuo Sio kama dabi za advance unakamia calculation mda wote.....stay na mke wako, mpange mipango yako atakuheshimu na ataheshimu unachofanyaRespect ππ..
Yaani umeeleze vizuri sana ila mimi nilikuwa ninampango wa kumwambia ampeleke mkewe kwa ukweni ili abakie na elimu kwa muda.
Hello happy Sunday...
Ni muda tena narudi kwenu baada ya kitambo.
Rafiki wa muda mrefu amepata changamoto kidogo,kwamba amepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo ndani ya mkoa alipo na wakati huo ana mke na mtoto mmoja na nimuajiriwa wa serikali .
Kujiendeleza huko kunakuja kwa sababu ya kuwa karibu na kituo chake cha kazi muda wa ziada baada ya kazi.
Swali ni je?
-Kuna mtu aliishafanikisha jambo hilo?
-Je mbinu gani ni bora na rahisi atakazozitumia kuweza kumtenga na majukumu ya kifamilia kwa muda na kutulia kusoma?
Natanguliza shukrani....
Wewe nasikia OUT imetolewa kwenye mfumo rasmi haitambuliki na TCU, vp hapo?