Ally Abdulrahman
Senior Member
- Mar 28, 2015
- 194
- 312
Habari zenu wakuu.
Natak nifanya kilimo Biashara lakini nahitaji eneo kubwa Sana. Je, mnanishauri nianzie wapi kwa wazoefu au wenye uelewa.
Nahitaji ekari Zaidi ya 50.
Natak nifanya kilimo Biashara lakini nahitaji eneo kubwa Sana. Je, mnanishauri nianzie wapi kwa wazoefu au wenye uelewa.
Nahitaji ekari Zaidi ya 50.