Nenda Morogoro eneo linaitwa Mvuha na faida za eneo hili kwa uchache ni hizi:
1. Unaweza kwenda na kurudi siku hiyo hiyo kama unatokea Dar au Dodoma
2. Ardhi bado mbichi kabisa huitaji mbolea kufanya kilimo
3. Unaweza kulima mazao ya aina nyingi mfano: Mpunga, Mahindi, Ndizi, Ufuta, Mtama, Mbaazi, Nyanya, Tikiti Maji, na Vitunguu maji
4. Unaweza kufanya ufugaji kwa large scale malisho ya mifugo yapo kwa wingi
5. Fursa za biashara ziko nyingi sana
6. Rahisi kupata eneo kubwa na binafsi namfahamu mtu ambaye anauza heka 50 zenye hati kabisa
NB: Nimewekeza pia huko