Asant san mkuu kwa ushauriPole mkuu,mwambie atafute kitu kingine au hobby ya kufanya, kwa mfano kilimo shambani, muda ule anaokaa idle na kuwaza ku bet atumie kufanya hio hobby mpya...abadilishe mazingira kama kazini kwake kunamruhusu akae idle then atoke hapo....
ni ujinga tu wa watu na kupenda easy-path ,....hakuna addiction inayoweza kushinda uwezo wa akili iliyo amua kufanya jambo fulani,....Kamatwa na vyotee ila siyo kitu inaitwa ADDICTION
Salaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa. AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6! Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja. Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena. Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake. Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure. Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki
SPIRITUAL WORLD π control fresh worldSalaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa. AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6! Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja. Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena. Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake. Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure. Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Inaitwa Gambling Addiction.ni Uraibu kama uraibu mwingine wala haiusiani na pepo.Hatua ya kwanza ni kukubali kwamba ana addiction ambayo ni ugonjwa wa akili then atafute proffesional help.Salaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa. AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6! Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja. Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena. Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake. Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure. Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Mtego huuπUnakwama wapi ndugu mtumishi?πView attachment 3178657
Mwamba kaamua kuwa Rubani π€Salaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa. AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6! Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja. Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena. Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake. Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure. Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Akubali kuacha sio rahisi ila inawezekanaHata Mimi nilimuona fala na uzri nayeye mwenyewe Huwa anajiona fala akifikiria yanayomtokea. Issue nikwamba anatokaje huko asiendelee kuwa fala?
Urubani wenyewe haumtaki amekuwa mtu wakuangusha ndege tuMwamba kaamua kuwa Rubani π€
Noma sana hiyo
Kwasasa hahitaji kuruka tena.Yupo Kweny hali ngumu anataka aachie anga kwa marubani wengineYuko mkoa gani ? Mwambie anitafute tuwe marafiki maana sisi ni ndege turukao pamoja nahisi tutamshinda adui kanjibahi
Sasa ameshindwa kutoka mwenyew ndomana anaomba asaidiwe kutokaKwahiyo yeye anapunwa tu hajawahi kupuna?...Yeye mwenyewe ndiyo wa kuamua kutoka katika hilo janga.
Kanjibhai kamnyoa mabawa ππKwasasa hahitaji kuruka tena.Yupo Kweny hali ngumu anataka aachie anga kwa marubani wengine
Mdanganyeni azidi kujichanganyaUnakwama wapi ndugu mtumishi?πView attachment 3178657
Unakwama wapi ndugu mtumishi?πView attachment 3178657
Anasubiri kujinyonga ndio kilichobakiSalaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa. Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa. AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6! Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja. Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena. Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake. Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure. Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Namimi najuaga betting Iko hvyo.Unakula unaenda kufanya mambo yako,ukiliwa unatulia. Sasa kinachoshangaza nijinsi jamaa anavyoliwa ila hakai akajitafakari badala yake anaenda kukopa pesa ili azidi kuchezaNgoja nirushe kandege kangu kabla ushauri wa Wananzengo haujanikatisha tamaa
Kwa nn ubet kiasi ambacho humudu kukipoteza??? Mwambie atoke usingizin. Nimenza kubet 2010 na sijawah kuwa addicted hata mara moja. Na ndio maana ninaweza kaa hata miez nane sijabeti. Na hata nikibet let say nikapata 1M huwa natoa zote naacha elfu 10 tuu hiyo ntabet buku buku mpaka mtaji utarud