Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumpotezea muda mtoto wa watu, kuna aunt ananiletea mazoea kitaa hapa, mi sio mambo zangu acha nikugee pande mwanangu .Vishu umeniandama sana skumbili hzi...
Yaaani wewe kila mfano unaohusu mambo ya mishangazi lazima unitag mimi aiseee...😃😃😃😃😃😃
Mkuu mi kwa sasa natafuta mtoto mmoja hvi mbichi anaitwa swaumu..
Huyu mtoto mara nyingi huwa anapenda kuniita mi dady...
Anahitaji maombi ili akombolewe...Salaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa.
AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6!
Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.
Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja.
Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena.
Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake.
Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure.
Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Mshahara wa mwalimu wa laki 4 sasa ataliwaje laki 6?Ni mwalimu?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💔💔💔💔daaahMshahara wa mwalimu wa laki 4 sasa ataliwaje laki 6?
Mhimize acheze hela ziishe uone kama ataendelea kucheza bila hela.Sasa ameshindwa kutoka mwenyew ndomana anaomba asaidiwe kutoka
BOSSI nakushauri kila siku asubuhi ukiamka anza kusoma machapisho /makala yanayohusu athari za betting.Nikitegemea San mchango kama huu
Nilitegemea San comment kama hii kwani ndivyo wengi tulivyo hapa JF.Mtu anapowasilisha changamot zamtu mwingine inaonekana niyeye ila akieleza mafanikio na utajiri wa mtu mwingine hapo comments zitamhusu mlengwa moja kwa moja.Ningesema Kuna jamaa yangu tajiri Wala usingethubutu kusema huyo jamaa nimimi. Anyways,tufanye nimimi mwenye hyo shida....naomba msaada wako mkuu
Yote yanawezekana. Ila...Salaam wanajukwaa. Jamaa yangu amepatwa na tatizo ambalo yeye mwenyewe halielewi na hata Mimi aliyenisimulia nimeshindwa kumuelewa ndomana nimelileta kwenu. Iko hivi, huyu rafiki ni mtumishi wa umma kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
Pamoja na mshahara anaopata anajitahidi kupambana nje yakazi na maisha yake sio mabaya, anajiweza. Tatizo lake limeanza rasmi mwezi July mwaka Jana na limemporomosha kiuchumi vibaya kiasi sasa amechanganyikiwa.
AVIATOR! mwanzo aliponitajia hiki kitu sikumwelewa kwani nilikuwa sijui kabisa.Alijaribu kunifafanulia mwisho nikaelewa nimchezo Fulani jamiii ya betting wenyewe wanaita kandege. Jamaa yangu anacheza huo mchezo na kwa wiki anaweza apoteze zaidi ya laki6!
Anadai amefikia kiwango Cha kuuza mali zake kutokana na madeni aliyokopa nakuyaelekeza kwenye mchezo huo.Tumeshauri njia nyingi zakuacha hadi akaamua kuharibu Simu yake ili asiingie mtandaoni lakini Bado mwamba ametengeneza na amerudi mchezoni.
Ana ofisi flan ya huduma za stationary ila wateja wakitanguliza pesa jamaa anaziweka kwenye kindege analiwa kinachobaki ni kusumbuana na wateja.
Najua betting Ina kula na kuliwa lakini kwa uliwaji huu na Bado anaendelea kucheza nahisi(nahata yeye)anaamini Kuna jambo nyuma.Anasema akishika tu pesa mkononi wazo lakwanza linamjia nikucheza kindege,Zikiisha anabaki na majuto huku akijiapiza hatarudia tena.
Ana mke na watoto,ila kwa Hali ilivyo ndoa ipo mashakani.Nifupishe tu kwakusema jamaa anahitaji msaada wa kutoka kwenye huo mchezo kwani anahisi Kuna mchezo kafanyiwa na sio akili zake.
Wakati Fulani niliingia jukwaa la wazee wakubeti hapa hapa JF nikaulizia ili nijue betting za kindege zinakuwa na madhara kama hayo kwa watu wote au Kuna kitu sio bure.
Uwezo wangu na ndugu wengine wakumshauri aache umeshindikana kwani Jana tu katoka kuliwa laki4 .
Suluhisho pekee ni YESUHata Mimi nilimuona fala na uzri nayeye mwenyewe Huwa anajiona fala akifikiria yanayomtokea. Issue nikwamba anatokaje huko asiendelee kuwa fala?
Unatibu tatizo kwa tatizo 😂😂😂Sure pekee ni Odds 10 unaweka elfu 10 ...hayo mengine ...
😃😃😃😃😃😃 Niunganishe mkuu daaah maana sho kaliAcha kumpotezea muda mtoto wa watu, kuna aunt ananiletea mazoea kitaa hapa, mi sio mambo zangu acha nikugee pande mwanangu .