Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 668
Habari wana JF,
Tangu nimwage mpunga wangu mbegu fupi Salu ya miezi minne, imepita miezi miwili ila nataka niupige booster ili ukue vizuri japo nilitupia urea kidogo wiki kama tatu zilizopita, naombeni ushauri wanamageuzi wenzangu wa kilimo.
Natanguliza shukrani!
Tangu nimwage mpunga wangu mbegu fupi Salu ya miezi minne, imepita miezi miwili ila nataka niupige booster ili ukue vizuri japo nilitupia urea kidogo wiki kama tatu zilizopita, naombeni ushauri wanamageuzi wenzangu wa kilimo.
Natanguliza shukrani!