Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Mkuu acha basi hujatembea wew umeenda mbalizi uko ndo unasema mbeya haina warembo

am better here
 
Pita sehemu hizi, The mint, Rocky pub, coffee, utawapata, Kuna moja nimeisahau ipo katikat hapo ina ma barmaid wazuriii wanamatakooo, , pita huko huwez kosa,
Dada embu niambie sifa zako wewe
 
Nenda Kamachumu kuna half cast wakutosha
 
Vuta hisia ya magoma yako ulipotoka, jichukulie sheria mkononi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…