Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Wapo ila mpaka ulewe sana. Mimi nilihangaika sana kwa siku mbili mfululizo, akili ikanijia nitwange bia, baada ya kubugia bia za kutosha nikaanza kuziona totozi zilizo jazia miguu... Sikukumbuka tena kukagua sura zao
Tatizo bia hazipandi mawindo yangu ni totoz tu yaani huwa ninabagua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliekwambia wahaya wanakaa bukoba mjini ni nan? Nenda huko vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata vijijini ninaenda
Kashozi
IMG_20190203_132254.jpeg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo ila mpaka ulewe sana. Mimi nilihangaika sana kwa siku mbili mfululizo, akili ikanijia nitwange bia, baada ya kubugia bia za kutosha nikaanza kuziona totozi zilizo jazia miguu... Sikukumbuka tena kukagua sura zao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom