rutegeramisi gwategera
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 446
- 494
- Thread starter
- #21
Sema tuBasi ngoja ninyamaze nisije nikaleta mengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tuBasi ngoja ninyamaze nisije nikaleta mengine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mda inabidi mtu ucheke tu!!Sawa unyamaze nimekaa miezi sits pale sjawahi ona kitu ,labda warembo hawaendi baa na club,mieusiiiiii,mishambaaa ,mindalaaaa
Hakuna warembo ni midubwasha sura ngumuSawa unyamaze nimekaa miezi sits pale sjawahi ona kitu ,labda warembo hawaendi baa na club,mieusiiiiii,mishambaaa ,mindalaaaa
Ungeenda tu na wakwako
Hakuna madem ni midubwashaUlikuwa unakutana na zombies wewe.
VyemaTar 5.01.2019 naondoka acha nivumilie
Ukweli bk hakuna Dem wa maanaNadhani wanauhusiano nao kidamu almost the same
Bukoba ipi !?Kuna wanawake wazuri sana BK ila lazima ubet.
Miguu kama kuku na usoni ni midubwashaPita sehemu hizi, The mint, Rocky pub, coffee, utawapata, Kuna moja nimeisahau ipo katikat hapo ina ma barmaid wazuriii wanamatakooo, , pita huko huwez kosa,
Sura za ki Idd AminSawa basi chukua wanaume kama wanawake hakuna.
Rwamishenyi?....unaleta masihara weuweee[emoji2958][emoji2958]Nipo Bukoba hakuna mademu wazuri labda nielekeze viwanja
Nimezunguka Beach hakuna
Lounge liquid Kuna mikahaba mizee na waganda wa wastan
Linas hakuna kitu
Maeneo ya rwamishenye,kibeta,uswahilini,kashai,kashura,mjini kati,nyamkazi, na sehem nyingi nimezunguka sioni kitu
Kuna wanyarwanda ila wanyambo sura ngumu Kama analamba ndimuNenda karagwe kuna vyombo vya hatari
Haaahaaa....halafu wanajiona keki wenyeweSawa unyamaze nimekaa miezi sits pale sjawahi ona kitu ,labda warembo hawaendi baa na club,mieusiiiiii,mishambaaa ,mindalaaaa
Kuna visu kule. Ngoja niweke akiba ya maneno maana kila mbuzi hupata malisho mazuri kulingana na urefu wa kamba yake.Haaahaaa....halafu wanajiona keki wenyewe
Wana Sura kama tractor bovuJamani hata mbeya hakuna warembo nilikaa mbalizi nikatoka na mafuta yangu
Wahaya wana misala sio siri...stone hakukoseaNdugu Zangu Tetemeko Ninyi
Mto Ngono Ninyi
Serikali Haikuleta Ajali