Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Nipo Bukoba mjini hakuna mademu wazuri Kila ninaye muona hanivutii, viwanja gani wanapatikana?

Sawa unyamaze nimekaa miezi sits pale sjawahi ona kitu ,labda warembo hawaendi baa na club,mieusiiiiii,mishambaaa ,mindalaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mda inabidi mtu ucheke tu!!
 
Jamani hata mbeya hakuna warembo nilikaa mbalizi nikatoka na mafuta yangu
 
Nipo Bukoba hakuna mademu wazuri labda nielekeze viwanja
Nimezunguka Beach hakuna
Lounge liquid Kuna mikahaba mizee na waganda wa wastan
Linas hakuna kitu
Maeneo ya rwamishenye,kibeta,uswahilini,kashai,kashura,mjini kati,nyamkazi, na sehem nyingi nimezunguka sioni kitu
Rwamishenyi?....unaleta masihara weuweee[emoji2958][emoji2958]
 
Back
Top Bottom