Nipo Bukoka mjini, nafikaje kiwanda Cha Kagera sugar?

Nipo Bukoka mjini, nafikaje kiwanda Cha Kagera sugar?

𝐼𝑙𝑖 𝑘𝑢𝑓𝑖𝑘𝑎 𝑘𝑎𝑔𝑒𝑟𝑎 𝑠𝑢𝑘𝑎𝑟𝑖 𝑘𝑖𝑤𝑎𝑛𝑑𝑎𝑛𝑖 𝑝𝑖𝑡𝑎 𝑘𝑢𝑙𝑖𝑎,𝑛𝑦𝑜𝑜𝑠ℎ𝑎 𝑝𝑖𝑡𝑎 𝑘𝑢𝑠ℎ𝑜𝑡𝑜 𝑛𝑦𝑜𝑜𝑠ℎ𝑎 𝑘𝑖𝑝𝑜 𝑝𝑒𝑚𝑏𝑒𝑛𝑖 𝑦𝑎𝑘𝑜 ℎ𝑎𝑝𝑜
 
Habar wakuu Niko bukoba mjini nataka kufika kiwandani kagera sugar nipeni muongozo ...maana Kuna ishu yakaajira naenda fukuzia uko kiwandani
Bukoka Mjini huwezi kufika Kagera Sugar kamwe, nenda Bukoba Mjini ukifika niambie nikuelekeze!
Screenshot_20240901_171353_Edge.jpg
 
Ningekuwa mtoa ajira hapo Kagera shuga ningekata jina lako haraka sana kumbafu
 
Huu uzi utakuja kukutesa. Siku uje utuletee habari za kujifanya wewe ni bosi wa fulani tajiri kumbe kapuku mwajiliwa wa kiwandani.Na watu hawachelewi kufukua makaburi.
 
Huu uzi utakuja kukutesa. Siku uje utuletee habari za kujifanya wewe ni bosi wa fulani tajiri kumbe kapuku mwajiliwa wa kiwandani.Na watu hawachelewi kufukua makaburi.
Hapana boss nilikuja kusaka fursa ila mengi nimejionea nakuzungumza na wenyeji
 
Back
Top Bottom