malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #21
Mkuu inaonekana ww nimwenyeji sana Huku vipi fursa hasa zinazopatikana wilaya yamisenyi na viunga vyake kama bunazi,kyaka namaeneo mengine..fursa hasa nizipi Huku?Zimejaa ni uchaguzi wako. Kule kiwandani ni mji unao jitegemea lakini hakuna guest wala kitimoto maana wenye kiwanda hapendi.