Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Nawashukuru wazazi wangu wakati wowote, malezi yenu yameniletea wakati mzuri, sasa naishi na watu vizuriNawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
Naombeni audio ya hizi nyimbo;
1. Leonore ya Bokilo
2. Lala salama Chiku ya Zahir Ali Zorro
3. Selina ya Muhidini Ndolanga
4. Nawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
3. Selina ya Muhidini Ndolanga
4. Nawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
Muhidini Ndolangq (R.I.P) aliyekuwa mwenyekiti wa FAT zamani now TFF?..sikumbuki kama aliwahi kuwa mwanamuziki....Au Muhidini Gulumo?..Naombeni audio ya hizi nyimbo;
1. Leonore ya Bokilo
2. Lala salama Chiku ya Zahir Ali Zorro
3. Selina ya Muhidini Ndolanga
4. Nawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
Dah, acha kabisa hiyo kitu.Nawashukuru wazazi wangu wakati wowote, malezi yenu yameniletea wakati mzuri, sasa naishi na watu vizuri
Oh, sorry sana. Ni huyo Gulumo na si Ndolanga. Ahsante sana.Muhidini Ndolangq (R.I.P) aliyekuwa mwenyekiti wa FAT zamani now TFF?..sikumbuki kama aliwahi kuwa mwanamuziki....Au Muhidini Gulumo?..
Ni Muhidini Gulumo kiongozi, nilikoseaMuhidin Ndolanga au Ngurumo?
Ingia hapa www.tubidy.comNaombeni audio ya hizi nyimbo;
1. Leonore ya Bokilo
2. Lala salama Chiku ya Zahir Ali Zorro
3. Selina ya Muhidini Ndolanga
4. Nawashukuru wazazi ya nani sijui lakini Ndolanga yumo.
Anaangalia kengeleChini ya miguu ya mtu kama Mshangazi unafanya nn?