Wakuu nimemaliza chuo mwaka huu hata joho bado sijavaaa yaani Sitaki kuwa kama graduates wengine kuendekeza aibu au kuwa na yale mawazo ya watu watanionaje hapana.
Yaani bila kupoteza muda hapa Nnina wazo la biashara mbili. Biashara ya kwanza nataka nianze kukaanga mihogo.
Nyingine nataka nianze kukaanga kuku/miguu ya kuku/vichwa vyake n.k.
Biashara ipi kati ya hiyo inafaa zaidi?
Naomba mwongozo wa hizo biashara maana mimi sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote.
Nipo Dar Buguruni.
Yaani bila kupoteza muda hapa Nnina wazo la biashara mbili. Biashara ya kwanza nataka nianze kukaanga mihogo.
Nyingine nataka nianze kukaanga kuku/miguu ya kuku/vichwa vyake n.k.
Biashara ipi kati ya hiyo inafaa zaidi?
Naomba mwongozo wa hizo biashara maana mimi sijawahi kufanya biashara ya aina yoyote.
Nipo Dar Buguruni.