ASante kwa mawazo ila kwa kukadiria inaweza kutumika sh ngapi kwa biashara zote mbili?Mihogo kaangaa asubuhi halafu piga na hy ya viungo vya kuku mchana/jioni, ikiwa mtaani itakuwa unyama.
Mtaji wako ni kiasi ganWakuu nimemaliza chuo mwaka huu hata joho Bado sijavaaa yani Sitaki kuwa kama graduates wengine kuendekeza aibu au kuwa na Yale mawazo ya watu watanionaje HAPANA
Yani bila kupoteza muda hapa Nina wazo la biashara mbili
Biashara ya kwanza nataka nianze kukaanga mihogo
Nyingine nataka nianze kukaanga kuku/miguu ya kuku/vichwa vyake n.k
Biashara ipi kati ya hiyo inafaa zaidi
Nipo dar naomba mwongozo Wa hizo biashara maana mm Sjawahi fanya biashara ya aina yoyote
Nipo dar buguruni
Ngoja waje wataalamuASante kwa mawazo ila kwa kukadiria inaweza kutumika sh ngapi kwa biashara zote mbili?
Nina laki MBILIMtaji wako ni kiasi gan
Kwani Kuna tatizo?Na hawa ndo wasomi wetu, inasikitisha sana.
Huko chuo kikuu ulienda kupoteza muda?Kwani Kuna tatizo?
Pambana mwana
Sina hata cha kukujibu ubarikiweHuko chuo kikuu ulienda kupoteza muda?
Thanks.I like your spirit jamaa sema kama mihogo uzia maeneo ya jirani na chuo ila mtaani utachelewa sana
Vip kuhusu viungo vya kuku na kuku wenyewe?I like your spirit jamaa sema kama mihogo uzia maeneo ya jirani na chuo ila mtaani utachelewa sana
🤣🤣🤣🙌Hapo si ndo mna supu za jero? Halafu nyama nyng tu cjui za fisi zile!!
Sijaekuelewa mkuuHapo si ndo mna supu za jero? Halafu nyama nyng tu cjui za fisi zile!!