Nipo Geita...Natafuta mchumba.

Nipo Geita...Natafuta mchumba.

Saint H.Jr

Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
47
Reaction score
40
Nipo Geita,natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuish maisha ya ndoa! Sifa zangu nitamwelezea endapo atakuwa tayari na kunitafuta kwa nambari 0759947397.Ingependeza zaidi naye awe maeneo ya Geita! Tafadhalini,utani siutaki,nipo serious sana!
 
Nipo Geita,natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuish maisha ya ndoa! Sifa zangu nitamwelezea endapo atakuwa tayari na kunitafuta kwa nambari 0759947397.Ingependeza zaidi naye awe maeneo ya Geita! Tafadhalini,utani siutaki,nipo serious sana!
hujielewi na mbaya zaidi huelewi hata how the whole love phenomenon operates!...chungu na ngumu kumeza,ikikushinda tema!!😎
 
Mwaga sifa zako kwanza bana....
usijetuingiza cha kiume bure
 
Hao mabinti wote walioko Ambassador,Classic,na Alpha hujawaona?!
 
Hao mabinti wote walioko Ambassador,Classic,na Alpha hujawaona?!

Ambassador,classic n Alpha r areas of harlotness n i want a lady to mount the restrum with! Sorry kama hukupendezwa na thread yngu,WABHEJASANA NGOSHA,TULIHO NA HANGI
 
hujielewi na mbaya zaidi huelewi hata how the whole love phenomenon operates!...chungu na ngumu kumeza,ikikushinda tema!!😎

Helpless hopeless...doh! Nimependa vle ulivyo_design jina lako but nasikitika sana kuwa u mtupu,i.e,hauna busara hata kidogo,na kama unayo basi haijitoshelezi! Nilitarajia unishaur vitu vya maana,kumbe ni walewale,asante lakini...kiukwl sijapendezwa.
 
Helpless hopeless...doh! Nimependa vle ulivyo_design jina lako but nasikitika sana kuwa u mtupu,i.e,hauna busara hata kidogo,na kama unayo basi haijitoshelezi! Nilitarajia unishaur vitu vya maana,kumbe ni walewale,asante lakini...kiukwl sijapendezwa.
mwenzio busara zingine nimefanya kukopa hadi nikaandika huo ushauri wangu,kama hauna maana upotezee tu!kiroho safi..kila la kheri mkuu
 
Tatizo ulivyoweka hilo tangazo lako limekaa kitemi... then unavyojibu pia inawakatisha tamaa... hebu kua na maneno matamu basi ya kuwalainisha hawa watoto... huu ni urithi wetu mkuu... acha kuneng'eneka...
 
Tatizo ulivyoweka hilo tangazo lako limekaa kitemi... then unavyojibu pia inawakatisha tamaa... hebu kua na maneno matamu basi ya kuwalainisha hawa watoto... huu ni urithi wetu mkuu... acha kuneng'eneka...

Mwambie..... Mwanamke kubembelezwa kwa maneno matamu matamu, yaan majibu yake magumu mpk yanakaba koo lol!!!!
 
Tatizo ulivyoweka hilo tangazo lako limekaa kitemi... then unavyojibu pia inawakatisha tamaa... hebu kua na maneno matamu basi ya kuwalainisha hawa watoto... huu ni urithi wetu mkuu... acha kuneng'eneka...

Very sory mkuu,tatzo watu hawapo serious,mtu najieleza hitaji langu halafu mwingne ananiona kama vile sijui nikoje,inanikera sana! Anyway,not so much bad,msiogope jaman,nami nataka kuoa ili nifikie malengo yangu! Aliye tayar,mwenye hitaji kama langu,hebu awe serious bas tuongee kiutu uzima zaid
 
Back
Top Bottom