Wakuu nawasalim wote.
Nipo Geita nimeingia Jana mliopo Geita njooni PM tupeana maelekezo na mwongozo wa huu mji wa madhahabu ,nini cha kufanya na ni kipi niepukane nacho ili niendane sawa na wenye mji wao.
Najua kila sehemu kuna taratibu zake ambazo mgeni akifika hawezi zitambua kwa haraka Ila pasipo shaka nitapata muongozo kupitia wana JF wenyeji wa Geita
Karibuni kwa kunipa muongozo
Nipo Geita nimeingia Jana mliopo Geita njooni PM tupeana maelekezo na mwongozo wa huu mji wa madhahabu ,nini cha kufanya na ni kipi niepukane nacho ili niendane sawa na wenye mji wao.
Najua kila sehemu kuna taratibu zake ambazo mgeni akifika hawezi zitambua kwa haraka Ila pasipo shaka nitapata muongozo kupitia wana JF wenyeji wa Geita
Karibuni kwa kunipa muongozo