Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa hatukipingi japo hatuna uhakika ila hali ya kipa wa simba ni hiiHabari ndio hiyo anarudi yanga dili lake la nje limebuma atabakia yanga kwa mwaka mmoja zaidi
Itakua mke mwenzioMsimbishie huenda mleta mada ni mke wa msemaji wa Yanga hivyo ana uhakika na akisemacho
Kama ikitokea hivyo, je idadi ya wachezaji wa kimataifa wa Yanga hawatozidi 12?Habari ndio hiyo anarudi yanga dili lake la nje limebuma atabakia yanga kwa mwaka mmoja zaidi
Yanga haiwezi kuruka dau la biliono 2.8
hakuna tim hapa Tz imewahi kuuza mchezaji kwa dau nono namna hii.
HaaaaSawa hatukipingi japo hatuna uhakika ila hali ya kipa wa simba ni hiiView attachment 2703175
Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.Habari ndio hiyo anarudi yanga dili lake la nje limebuma atabakia yanga kwa mwaka mmoja zaidi
Kwanini mkuu au wenye timu huko Congo wameshalipwa?Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndio hiyo anarudi yanga dili lake la nje limebuma atabakia yanga kwa mwaka mmoja zaidi
Yanga waingiziwe hela ya nini wakati mchezaji ni wa Manyema f.c ya Congo Yanga alikua kwa mkopo!Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiitwa chizi utaona unatukanwa, nani anaweza kumtowa mchezaji kama Mayele kwa Mkopo miaka mitatu?Yanga waingiziwe hela ya nini wakati mchezaji ni wa Manyema f.c ya Congo Yanga alikua kwa mkopo!