CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Jul 31, 2023 #21 UTOPOLO WENYE AKILI NI WAWILI TU.
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Jul 31, 2023 #22 Mtoa mada, kama vipi waombe wamiliki wa JF kufuta huu uzi wako. Maana umegeuka na kuwa kituko.
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Jul 31, 2023 #23 Mods futeni uzi huu
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Jul 31, 2023 #24 Dr Matola PhD said: Ukiitwa chizi utaona unatukanwa, nani anaweza kumtowa mchezaji kama Mayele kwa Mkopo miaka mitatu? Kichwani umejaa funza. Click to expand... Haa umepanik,,ππ Mayele kaletwa Yanga hana jina baada ya kung'ara kauzwa na timu yake Manyema f.c,imeisha iyoooooo,,ππ
Dr Matola PhD said: Ukiitwa chizi utaona unatukanwa, nani anaweza kumtowa mchezaji kama Mayele kwa Mkopo miaka mitatu? Kichwani umejaa funza. Click to expand... Haa umepanik,,ππ Mayele kaletwa Yanga hana jina baada ya kung'ara kauzwa na timu yake Manyema f.c,imeisha iyoooooo,,ππ