Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #41
Njoo apa Kwa mkwere
Ipo wapi hiyo nije nijimwambafai jamanWewe njoo huku nipo hapa Mgwasi Hotel
Alafu hapa nimwachie nani... Mi nakunywa kwa bili..Njoo apa Kwa mkwere
Acha zako hebu ingia google map hapo fasterIpo wapi hiyo nije nijimwambafai jaman
Sawa,soon narudiAcha zako hebu ingia google map hapo faster
Walimu Wanamkubali MPWAYUNGU VILLAGEWalimu wakikudaka hapo shauri zako.
Sawa,soon narudi
π€£π€£Anazinguaπ€Hhhahaha
Huyo katoroka shuleni... Ni mwalimu wa zamu huyo.. kaja dar safisha sura.Walimu Wanamkubali MPWAYUNGU VILLAGE
Juzi Katoka TAMISEMI DODOMA Kuwatetea Walimu Alionana Na Waziri Husika
Nenda wewe na bili zakoAlafu hapa nimwachie nani... Mi nakunywa kwa bili..
twende basi tuka mjoin π ππ€£π€£π€£π
Heh!!Nimepata mrembo wa kunipa kampani huyu apa, ila Nina wasiwasi sijui ametumwa View attachment 2644828
Situmiiπ€£π€£π€£πtwende basi tuka mjoin π π
Kukwepa gharama za gestNishakunywaga hapo nilifika usiku wa manane kutokea Mwanza nikakaribishwa na yule jamaa mfupi sana. Akanipeleka hadi mezani, akanivutia kiti nikakaa kifalme kisha nikala bia hadi asubuhi.
Unamnywesha bia ngumu sana mkuu!πNimepata mrembo wa kunipa kampani huyu apa, ila Nina wasiwasi sijui ametumwa View attachment 2644828
Ameagiza Kwa hela akeUnamnywesha bia ngumu sana mkuu![emoji28]