Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kwa mkwere manzese aaah kuna madude ya hatari hapo. Mahindi ya kuchemsha huyo mkwere anayapendq sana. Kuna mama hapo mbele anauza maboga na makande asubuhi weeewOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759