Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #101
Njoo chap mkuuNakuja mkuu niko mbwembe chai hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo chap mkuuNakuja mkuu niko mbwembe chai hapa
Kaa homeground ... Don't get lost..Hapo nakuja baada ya kuchangamka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawaomba walimu wote wa Jijini mfunge safari haraka mkamshughulikie huyu kijana. Maana amekuwa akiwatukana sana humu jukwaani, tena bila ya sababu yoyote ile ya msingi.
Bora uwaambieTeacher ,uwe makini likizo ndefu ,ukiishiwa
Mkeo atauza wapi maandazi asongeshe hadi mshahara utoke
Yaani wewe hua una ushamba fulani daily nakuambia....unampigaje picja mtu na kumtjndika humu?
unamtanguliza lodge nini 😅😅😅
mwanangu nipe connection mambo yangu kabisa hayaa
Umejuaje [emoji23][emoji23][emoji23]unamtanguliza lodge nini [emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe na wewe mdau aisee sebuleni Kwangu hapoKwa mkwere manzese aaah kuna madude ya hatari hapo. Mahindi ya kuchemsha huyo mkwere anayapendq sana. Kuna mama hapo mbele anauza maboga na makande asubuhi weeew
Njoo Kwa mkwere hatuwez kuongea Kwa mtandaomwanangu nipe connection mambo yangu kabisa hayaa
huwa hatufatani nao mkuu.. unamtanguliza tu unamkuta chumbani kaisha saula.. 😅😅Umejuaje [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo naweza kusema ni kwa Mkwere kwa kigezo cha kokoto chini.Hiyo picha mbona sio kwa mkwere mkuu.
Hahahan natoboaga sna hapo hasa nikiwa nasafar ndefuKumbe na wewe mdau aisee sebuleni Kwangu hapo
Siwez kukununulia savanaa ilihali boss mwenyewe nakunywa ngumu kumeza
Dah ndio hivyo kumbe wakati mwingine lbda uwa funajumuika pmja hpo lkni hatujuani babulai[emoji3][emoji3]Hahahan natoboaga sna hapo hasa nikiwa nasafar ndefu
Mwalimu savana anaitoa wapi !!? [emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji1787][emoji23][emoji2960][emoji2960]
Kadange hukoo...
Kweli bhanaDah ndio hivyo kumbe wakati mwingine lbda uwa funajumuika pmja hpo lkni hatujuani babulai[emoji3][emoji3]
Lipia matangazo, moja la Bia lingine la BarOya wahuni tusogee mitaa hii tupige Vitu vya baridi mpaka majogoo, njooni tu join wadau wa jamiiforum tujuane zaidi
Fika manzese kituo kinaitwa manzese darajani uliza bar ya mkwere, panaitwa Kwa mkwere nipo humu hata kama huna pesa we njoo nitanunua mabapa matatu ya KVANTView attachment 2644759