Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Huyo unadhani ni mzima? MpotezeeeHabari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapoteza muda wako bure bora uongee na mama yoyoooHabari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bado yupo? Atakuwa ndio anaishia ishia hivyo. Mungu wa kweli (Yesu Kristo) hachezewi.Habari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami pia nimemsikiliza, haelewekiHabari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhuni yake matusi mkuu, na utakuta waumini wanampigia makofi.Habari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu fungua mlango1. Nani kakuambia huyo ni mchungaji?
Huyo ni mhuni tu kama wahuni wengine wanaochomekea makoti. Ukute hapo ana faru John 3 kwenye koti.
2. Una moyo kweli. Ma TV yote haya unaangalia channel ten? Una shida gani? Kama umeshindwa kufunga DStv ambayo haina channel kama hiyo, hata Azam ya kizalendo inakushinda?
ππππ Amekasirishwa na nini?Habari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi bado yupo? Atakuwa ndio anaishia ishia hivyo. Mungu wa kweli (Yesu Kristo) hachezewi.
Jana kuna mwanangu kanihubiria alinithibitishia kwamba hata nabii Adam aliumbwa na Yesu nikasema mmmh huyu bwana yupo sawa kichwani au kakaririshwa matango pori.? Lusekelo anasemaje hukoHabari wakuu...
Nipo hapa ninasikiliza Lusekelo chanel 10..
Nimeshindwa kumuelewa hata anachozungumza.
Hakuna kifungu hata kimoja cha bible anatumia.
Anaongea kwa jazba hadi kutukana kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app