Fundi_Matia
New Member
- Oct 7, 2021
- 1
- 3
1. Najisikia maumivu kwenye rectum, hasa ikiwa nabanwa na haja kubwa.
2. Maumivu husambaa mpaka kwenye misuli ya uume iloelekea sehem ya haja kubwa.
3. Maumivu huelekea pia mpaka kwenye paja.
4. Na hatimaye uume hupata itching kwenye urethra.
Nini hii jamani?
Nina maumivu ya korodani hasa nikitoka kufanya mapenzi, Maumivu ya kibofu, tumbo, kiuno, mgongo, uume kusinyaa kupitiliza.
Sijisikii haja kubwa au ndogo ila nikibanwa haja huwa tumbo kama linajaa upepo ndo nagundua nmebanwa, vichomi vidogo miguuni na chin na baadh ya maeneo ya juu.
2. Maumivu husambaa mpaka kwenye misuli ya uume iloelekea sehem ya haja kubwa.
3. Maumivu huelekea pia mpaka kwenye paja.
4. Na hatimaye uume hupata itching kwenye urethra.
Nini hii jamani?
Nina maumivu ya korodani hasa nikitoka kufanya mapenzi, Maumivu ya kibofu, tumbo, kiuno, mgongo, uume kusinyaa kupitiliza.
Sijisikii haja kubwa au ndogo ila nikibanwa haja huwa tumbo kama linajaa upepo ndo nagundua nmebanwa, vichomi vidogo miguuni na chin na baadh ya maeneo ya juu.