Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kwa mujibu wa maelezo yake hiyo hospitali itakuwa ni Mnazi mmoja,maana ndio ya serikali karibu na kkoHospitali gani hiyo
Serikali yetu kupitia wizara ya afya Wanawake wajawazito, waliojifungua na waliopata ajali hawapewi masharti ya kuchangia damu ndio waongezewe damu.
Ikitokea mgonjwa wa magonjwa mengine amepungukiwa damu anaweza ambiwa achangiwe na ndugu zake ndio aongezewe damu, sio wazazi