Nipo humu kwa lengo la kupata mke mwema

Nipo humu kwa lengo la kupata mke mwema

Mwisho wa siku aje aseme asiwepo mitandao ya kijamii🤗
 
Nipokeeni ndugu zangu

1: Sifa awe miaka 18-27
2:Mkristo
3:Mwenye heshima na utii wa kweli
4:Asiwe na mtoto wala asiwe amewahi kutoa mimba
5:Asiwe ametoboa pua, kitovu au masikio zaidi ya mara moja
6:Asiwe anapenda kuweka kucha bandia
7:Awe tayari kua mke na kua mama pia
8: asiwe na mtizamo wa 50/50

Nipokeeni ndugu zangu
Udomo zege utakuua mkuu
 
Ajitolee mtu atoe thread LA kutongoza umu maana vijana wa cku iz kila kit wafanyiwe ad mke mtandao uwataftie aisee
 
Back
Top Bottom