El khelafi
JF-Expert Member
- Apr 17, 2023
- 211
- 493
Hahaha😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udomo zege utakuua mkuuNipokeeni ndugu zangu
1: Sifa awe miaka 18-27
2:Mkristo
3:Mwenye heshima na utii wa kweli
4:Asiwe na mtoto wala asiwe amewahi kutoa mimba
5:Asiwe ametoboa pua, kitovu au masikio zaidi ya mara moja
6:Asiwe anapenda kuweka kucha bandia
7:Awe tayari kua mke na kua mama pia
8: asiwe na mtizamo wa 50/50
Nipokeeni ndugu zangu
Wapo kibao hawana watoto usikariri ya huko kwenu🤣🤣 27 hana mtoto?labda anatokea kaskazin huyo🤣🤣na hutaki 50/50 so huduma zote utagharamia wewe? hongera kwa kipato🤔