Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23] yalimkuta ndio mana akafungua na uzi kuwaasa wengine. Unashobokaje na id fake lazima yakukute tu.imesaidia saidia nimeona wadada wanamshobokea[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] yalimkuta ndio mana akafungua na uzi kuwaasa wengine. Unashobokaje na id fake lazima yakukute tu.imesaidia saidia nimeona wadada wanamshobokea[emoji23]
Kumbe... Nmeanza kumfahamu juzi juzi sababu ya mlundikano wa idsKitambo Sana, ndo Mana nilihisi wewe na yeye ni 1
uje kule uselfike mama nimekumiss😅[emoji23][emoji23] yalimkuta ndio mana akafungua na uzi kuwaasa wengine. Unashobokaje na id fake lazima yakukute tu.
Hayo ni masharti ya mabeberu ndo mana tunataka katiba mpyamimi nina id 1 tu ndo maana najitahidi siandiki upuuzi😂
Ehhhh😂😂, Bora niwe single mpaka kufaa😂😂[emoji23][emoji23] yalimkuta ndio mana akafungua na uzi kuwaasa wengine. Unashobokaje na id fake lazima yakukute tu.
[emoji1787]Ehhhh[emoji23][emoji23], Bora niwe single mpaka kufaa[emoji23][emoji23]
Usiwazeuje kule uselfike mama nimekumiss[emoji28]
asake ameachia goma, au we mshamba unamsikiliza davido tu
Nipe mkuu!Sema wewe so mdau ningekupa web ambayo haina masharti full kujachia
Hahahaa itakua imerudi maana wanakupa tarehe na mdaa siku ya itakayo rudi...😂😂😂Kumbe tulikuwa wengi na mi niangalie ka id kangu labda nimerudi uraiani
Nimepoa sasa😂😂😂Utulie, ukileta za kuleta unakula ban tena
Nipe idea tuanzie wapi? Au mjini YouTube...😂😂😂IamBrianLeeSnr Ile stori ya khumbu inabidi tupige hela
Ndio!Anaomba ela?
Mimi alinipiga kizinga nikachomoa betri fasta akamaindi kweli!Hapana, nahisi hayuko hivyo
Ndo ukomee nawee baba tamuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uache kuwa serious na JF kiasi hiko. Lol
Hahahaa hatari😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787] tuanze vikao vya harusi moja kwa moja wewe huitaji kitchen party kungwi mwenyewe
madem wenyewe ukute ni maupinde tu [emoji706][emoji706]