Nipo imara ila najuta

Total tsh 292000 (107$).
 
Ushauri mzuri.tulio wahi kutana na hali hiyo tunakuelewa watoto wa 2000 hawato kuelewa
 
Hilo dili ya nnje la 110,000 ni dollars au kwa pesa za madafu mkuu?
mtu kama ww unakuta hata mchongo wa kulala na tsh elfu 10 kama faida huna, ila sasa ukija jf anakoment mashudu kama haya tumuone na yeye yumo.
 
mtu kama ww unakuta hata mchongo wa kulala na tsh elfu 10 kama faida huna, ila sasa ukija jf anakoment mashudu kama haya tumuone na yeye yumo.
Sawa,upo sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…